Chinese scholarship 2016-2015 information

Wakikuzigua sana design mwenyewe...nilifanya ivyo zamani mambo yalivyokuwa magumu kuipata.
 
scholarship za china
1.bilateral schilarship(hii kwa Tanzania unapitia wizara ya elimu)
2.csc scholarship university program(hii unaomba chuo husika moja kwa moja. tembelea web ya chuo hisika itakupa maelekezo yote. pia hapa utahitajika kujaza fomu ya csc online)
3.local government municiple scholarship(hizi hutolewa na manispaa ya miji kupitia vyuoni mfano :beijing municiple government scholarship, hubei province municiple government scholarship na nyingine nyingi)
4.presidential scholarship(hii ni udhamimi wa raisi wa china ila unapitia vyuoni .vyuo maalum vimeteuliwa.pita web ya chuo husika na fuata maelekezo)
5.MOFCOM scholarship(hii unaomba kupitia ubalozi wa china uliopo tanzania, inadhaminiwa na wizara ya biashara ya china)
6.companies scholarship(makampuni mbali mbali hutoa udhamini kupitia vyuoni) pendelea kutembelea website ya vyuo na soma matangazo kisha omba.

Invisible Paw Moderator na wengine tunaomba muiweke sticky thread hii ili iwe reference kwa kila atakaetaka kuomba scholarship china.
watanzania tuditapeliwe na madalali. hivi vitu unaweza kuvifanya mwenyewe ukiwa tanzania na ukapata scholarship bila zengwe. tushirikiane na mleta uzi na wengineo wenye ANY INFO itakayowawezesha watanzania wenzetu kupiga hatua ya kielimu
Safi sana...nakuunga mkono 100%
 
Sasa mkuu ukisha download hiyo form uliyoijaza csc ina maana unatakiwa uitume hiyo kwenda kwa agency wako ambaye ni hiyo university kwa hiyo hapo inakuwaje?
Mkuu...ukishamaliza kujaza na kuwa na mambo yote yanayoitajika ni kuzituma tu, kwenda chuo (agency husika) kupitia DHL . Ila kama una rafiki yoyote huku unaweza ukamtumia kwy email then yeye akaziprint na kutuma chuo maana kukwepa gharama za DHL.
 
Kuna jamaa mmoja amenimbia kuwa yeye alikusanya vitu vyoote vilivyoitajika ( akajaza online form CSC ila agency number akaandika ya ubalozi wa china) chini kule akaandika vyuo 3 angependa kusoma, then akapeleka pale ubalozini, na amepata udhamini.
 
Kuna jamaa mmoja amenimbia kuwa yeye alikusanya vitu vyoote vilivyoitajika ( akajaza online form CSC ila agency number akaandika ya ubalozi wa china) chini kule akaandika vyuo 3 angependa kusoma, then akapeleka pale ubalozini, na amepata udhamini.
kwa uzoefu wako mkuu. ipi ni safe? hii ya kupeleka moja kwa moja ubalozi wa china akiwa kama agency au ya ku apply directly kwa chuo husika kikiwa kama agency? Maana mi nataka nipeleke sehemu kwenye probability kubwa ya kupata
 
kwa uzoefu wako mkuu. ipi ni safe? hii ya kupeleka moja kwa moja ubalozi wa china akiwa kama agency au ya ku apply directly kwa chuo husika kikiwa kama agency? Maana mi nataka nipeleke sehemu kwenye probability kubwa ya kupata
Una uwezo wa kujaza na kudownload CSC zaidi ya mara moja, lakini hii ya 2 ubadilishe agency number either ubalozi au hicho chuo kingine. Fanya yote kama yapo ndani ya uwezo wako.
 
Kuna chuo nataka niapply wao wana demand either hiyo mitihani au certificate of medium of instruction. Ila nimeona hiyo certificate of medium of instruction ni rahisi kupata maana ni kuandikiwa barua na chuo ulichosoma kuonesha kwamba english ndo ilikuwa medium of instruction, sasa mimi wasiwasi wangu ni kwamba sijui kama ntapata hii barua kwenye vyuo vyetu hivi.
yeah ni kweli chuo kama Xiamen na vingenevyo vinataka hivyo ila hiyo ni rahisi. nenda chuo ulichomalizia wakuandike barua inayoonesha kuwa major yako ilifundishwa kwa kingereza. ili kupunguza urasimu nashauri draft barua kisha nenda nayo, mana vyuo vyetu kwa urasimu hawajambo wanaweza kukuzungusha kwa uvivu wa kudraft barua. kwa hiyo draft barua kisha ukifika kama hawana sample basi wape hiyo waiweke kwenye headed paper na kisha igongwe muhuri pamoja na sign. mf "....this is to certify that Mr.XXXXX YYY was enrolled in our college from September 1989 to September1992 in a bachelor degree program in computer science taught in ENGLISH.............."
 
kwa uzoefu wako mkuu. ipi ni safe? hii ya kupeleka moja kwa moja ubalozi wa china akiwa kama agency au ya ku apply directly kwa chuo husika kikiwa kama agency? Maana mi nataka nipeleke sehemu kwenye probability kubwa ya kupata
mkuu, dont put all your eggs in one basket. nashauri tuma kwenye vyuo moja kwa moja, apply za wizarani na pia kama kuna nyinginezo omba. usitume sehemu moja tu ukaridhika. pia nikwambie kitu kimoja, pale ubalozini huwa hawatabiriki, there are some friends known to me walipeleka pale ubalozini kisha after some few days wakapigiwa simu na ubalozi waende wakachukue documents zao wazipeleke wizara mana kwa tanzania nominating agent waliopewa "rungu" na ubalozi ni wizara ya elimu. however kuna mwaka kuna mtu alipeleka ubalozin na akapata. wachina hawatabiriki. apply as more as you can to increase your chance
 
mkuu, dont put all your eggs in one basket. nashauri tuma kwenye vyuo moja kwa moja, apply za wizarani na pia kama kuna nyinginezo omba. usitume sehemu moja tu ukaridhika. pia nikwambie kitu kimoja, pale ubalozini huwa hawatabiriki, there are some friends known to me walipeleka pale ubalozini kisha after some few days wakapigiwa simu na ubalozi waende wakachukue documents zao wazipeleke wizara mana kwa tanzania nominating agent waliopewa "rungu" na ubalozi ni wizara ya elimu. however kuna mwaka kuna mtu alipeleka ubalozin na akapata. wachina hawatabiriki. apply as more as you can to increase your chance
Asante kwa ushauri mkuu.. ila kuliko kupeleka wizarani ni bora kuapply moja kwa moja kwa chuo husika. Wizara ya Elimu ya Tanzania siiamini hata kidogo. Ntajaribu kupeleka embassy then wakizingua ntaapply moja kwa moja kwa chuo husika
 
yeah ni kweli chuo kama Xiamen na vingenevyo vinataka hivyo ila hiyo ni rahisi. nenda chuo ulichomalizia wakuandike barua inayoonesha kuwa major yako ilifundishwa kwa kingereza. ili kupunguza urasimu nashauri draft barua kisha nenda nayo, mana vyuo vyetu kwa urasimu hawajambo wanaweza kukuzungusha kwa uvivu wa kudraft barua. kwa hiyo draft barua kisha ukifika kama hawana sample basi wape hiyo waiweke kwenye headed paper na kisha igongwe muhuri pamoja na sign. mf "....this is to certify that Mr.XXXXX YYY was enrolled in our college from September 1989 to September1992 in a bachelor degree program in computer science taught in ENGLISH.............."
Asante mkuu itabidi nifanye hivo halafu kama uliota vile. Hiko Xiamen ndo nakitaka naona kama kipo powa sana maana kuna course moja matata ya Financial Engineering naona kama imesimamia kucha:p:p
 
Habari wana JF.
Mimi ni mtanzania ambaye nimepata bahati tu ya kusoma china. Kitu kinachonisikitisha ni kwamba watanzania wengi tunakosa habari ( information) za mambo mbalimbali. Watu wa mataifa mbali mbali wanachangamkia sana fursa za elimu zinazotolewa huku kuliko sisi watanzania. Nisiseme sana ila lengo langu ni kutoa taarifa tu.
Kuna ufadhili ambao serikali ya china unautoa kila mwaka ukiachana na ule unaopitia serikalini na kutangazwa na sekta mbali mbali kama wizara ya elimu au wizara ya nishati na madini ambao ufadhili unatokea serikali ya china, ipo njia ya mtu binafsi kuomba ufadhili moja kwa moja kupitia chuo husika kilichopo Uchina ambacho kina uhusiano na sekta inayotoa mikopo huku china (China scholarship council). nimebainisha hapa chini mpangilio wa kuomba huu udhanimi.
1) sign up at [www.csc.edu.cn/laihua/noticeen.html]
2) jaza fomu itakayokuja na kisha ipakue (download)
3) Fanya maombi / application kwenda chuo unachokitaka ( kwenye mtandao/website wa chuo) sawa na ulichojaza awali (1) kisha ambatanisha na fomu uliyopakua awali (download)
4) Endelea na kazi zako huku ukisubiri kama utabahatika . ( waswahili wanasema itika wito kataa neno)

DEADLINE: march 2016 ( mwishoni )

Note: Wenye asilimia kubwa ya kupata niwale watakaoomba MASTER'S au PhD's kulingana na utafiti wa asilimia 95 ya waliopo hivyo kwa bachelor ni ngumu sana kupata labda uwe unajisomesha kwa pesa zako mwenyewe)
kwa msaada zaidi:[kbongole@yahoo.com]
HONGERA SANA UBARIKIWE
 
Habari wana JF.
Mimi ni mtanzania ambaye nimepata bahati tu ya kusoma china. Kitu kinachonisikitisha ni kwamba watanzania wengi tunakosa habari ( information) za mambo mbalimbali. Watu wa mataifa mbali mbali wanachangamkia sana fursa za elimu zinazotolewa huku kuliko sisi watanzania. Nisiseme sana ila lengo langu ni kutoa taarifa tu.
Kuna ufadhili ambao serikali ya china unautoa kila mwaka ukiachana na ule unaopitia serikalini na kutangazwa na sekta mbali mbali kama wizara ya elimu au wizara ya nishati na madini ambao ufadhili unatokea serikali ya china, ipo njia ya mtu binafsi kuomba ufadhili moja kwa moja kupitia chuo husika kilichopo Uchina ambacho kina uhusiano na sekta inayotoa mikopo huku china (China scholarship council). nimebainisha hapa chini mpangilio wa kuomba huu udhanimi.
1) sign up at [www.csc.edu.cn/laihua/noticeen.html]
2) jaza fomu itakayokuja na kisha ipakue (download)
3) Fanya maombi / application kwenda chuo unachokitaka ( kwenye mtandao/website wa chuo) sawa na ulichojaza awali (1) kisha ambatanisha na fomu uliyopakua awali (download)
4) Endelea na kazi zako huku ukisubiri kama utabahatika . ( waswahili wanasema itika wito kataa neno)

DEADLINE: march 2016 ( mwishoni )

Note: Wenye asilimia kubwa ya kupata niwale watakaoomba MASTER'S au PhD's kulingana na utafiti wa asilimia 95 ya waliopo hivyo kwa bachelor ni ngumu sana kupata labda uwe unajisomesha kwa pesa zako mwenyewe)
kwa msaada zaidi:[kbongole@yahoo.com]



kwa kuwaongezea na vyuo vya Hong Kong karibu vyote vina scholarship kwa ajili ya Mphil na PhD ukituma maombi wakiona unaqualify wanakupa admission na scholarship. andika Hong Kong universities ingia web zao then prosperous students angalia program na mahitaji yao omba tu. wanakupa admission na scholarship. wanatafuta tu wenye qualify basi. Kazi kwenu. Ila vingi deadline huwa ni 1 December na kuna clearance round jaribu bahati yako.
 
kwa kuwaongezea na vyuo vya Hong Kong karibu vyote vina scholarship kwa ajili ya Mphil na PhD ukituma maombi wakiona unaqualify wanakupa admission na scholarship. andika Hong Kong universities ingia web zao then prosperous students angalia program na mahitaji yao omba tu. wanakupa admission na scholarship. wanatafuta tu wenye qualify basi. Kazi kwenu. Ila vingi deadline huwa ni 1 December na kuna clearance round jaribu bahati yako.
Asante sana mkuu kwa taarifa.
 
Tunashukuru kwa taarifa. Zinazopitia Wizara ya Elimu na Wizara ya Nishati pia deadline bado. Wanaoomba oil and gas kupitia Wizara ya Nishati Deadline 17.03.2016
 
Habari wakuu,
Naona vyuo vyote vya china wanataka application fees ili uweze kupata admission. Je, kuna namna yoyote ambayo unaweza kuikwepa hii application fee?
 
Back
Top Bottom