Chile miners' rescue underway!!!!

wakitoka hapo break ya kwanza ni kwenda kunywa pombe na kusherehekea badala ya kumkumbuka Muumba wao aliyewatoa kwenye kaburi la udongo...mtaniambia!
 
Ni North America ndio imesaidia kuleta mtambo! (capsule and a big crane!) jamani! wenyewe walisha chemsha walikuwa bado wanakuna vichwa! it is absolutely miracle! naona Mario Sepulveda ni wa pili na ndio anatoka sasa! Bless!!! What a cute wifey! !

Acha kupotosha ukweli, Hiyo capsule (Phonex) wameijenga ma-Engineer wa jeshi la maji la Chile na kuna patented technologia kidogo ya kiswisi imetumika. Na hiyo crane ndio unaona limetoka Marekani kweli? acha mchezo. NASA wamekwenda kusaidia ushauri wa mambo ya afya kwa wale miners kwa sababu wana uzoefu wa kupeleka watu angani.

Ma-Engineer wa Chile wanajua wanachokifanya ndio maana wamefanikiwa katika hili, isingekuwa hivyo wale jamaa wangefia humo shimoni.
 
Kwa wanaotaka kuangalia live BBC News - Chile mine rescue

The BBC's James Read says the number 33 has taken on a special significance for the miners, who are known to be superstitious: there are 33 miners, it took 33 days for the drill to complete the rescue shaft and Roman Catholic Chileans believe Jesus Christ was 33 when he died. Even President Sebastian Pinera mentioned the "magic number" in his triumphant speech after the first miner emerged from the shaft. The date of the rescue 13/10/10, adds up to - you guessed it - 33.




Yesu ni Jibu (usinifungie Mod nikitofautiana na imani yako)
 
Kwa wanaotaka kuangalia live BBC News - Chile mine rescue

The BBC's James Read says the number 33 has taken on a special significance for the miners, who are known to be superstitious: there are 33 miners, it took 33 days for the drill to complete the rescue shaft and Roman Catholic Chileans believe Jesus Christ was 33 when he died. Even President Sebastian Pinera mentioned the "magic number" in his triumphant speech after the first miner emerged from the shaft. The date of the rescue 13/10/10, adds up to - you guessed it - 33.




Yesu ni Jibu (usinifungie Mod nikitofautiana na imani yako)

to me its just a coincidence if so
 
For those who say that the miners are stupid for wearing glasses - you try seeing light after spending that long in the dark - it's that feeling of spending a few minutes in a completely dark room and then turninng the light on.

For those who claim that the men are too clean and are shaven - maybe they knocked up some kind of shaving tool with their mining equipment? They also knocked up a rudimentary shower using water passing through the rock.
 
Hapa ndo utaona umuhiwu wa wataalamu kutumika kwenye mambo yanayahitaji utaalamu. Sipendi ila ingekuwa imetokea Bongo hii sijui. Ya MV Bukoba inasemekana bla bla ilizidi utaalamu tukapoteza watu, ya Treni vile vile. Siasa kila mahali hadi mashuleni sasa hii si sawa. Nao mchimbaji wa 14 ndo katoka.
 
yaani Mungu ni mkubwa....mie nilisimama tu mbele ya Tv machozi yakidondoka...amazing rescus...i shudder to think what wd have happenend if this happenened in pur beloved countries in SSA......
 
Hapa ndo utaona umuhiwu wa wataalamu kutumika kwenye mambo yanayahitaji utaalamu. Sipendi ila ingekuwa imetokea Bongo hii sijui. Ya MV Bukoba inasemekana bla bla ilizidi utaalamu tukapoteza watu, ya Treni vile vile. Siasa kila mahali hadi mashuleni sasa hii si sawa. Nao mchimbaji wa 14 ndo katoka.

naungana nawe kuwa tz brabra zimezidi: tazama mgombea ubunge(prof) anakuwa replaced na std 4(jimbo la lorya), no school anamshinda graduate (korogwe) na rais anashangilia. Unadhani hapa taaluma inahitajika?
 
sio sitaki ni masiku mengi na wanatoka wakiwa wako feet kama haijatokea kitu
ndio tofauti kati ya kwao na kwetu...

fuatilia ujue kwamba walikua na psychortherapy, water therapy, oxygen and other supplies... pia walikua na program na mawasiliano yote na watu waliokua nje

they even went on to involve NASA in the rescue

it is one of the most inspirational story ya mwaka, ingekua kwetu hapo ni fukia-fukia na kuomba dua
 
It's quite the opposite, it's science and teamwork, it's the human mind and personal courage, it's individual intelligence and worldwide compassion. To call it a miracle is to belittle mankinds achievement here.21 already rescued.
 
It's quite the opposite, it's science and teamwork, it's the human mind and personal courage, it's individual intelligence and worldwide compassion. To call it a miracle is to belittle mankinds achievement here.21 already rescued.
imekaa vizuri mkuu...
 
Back
Top Bottom