Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Nacheki BBC live hapa home. Ni saa 6:15 usiku. Muda wowote mtu wa kwanza ataanza kutolewa humo machimboni
Hivi kilitokea nini? Maana mimi sijui wanaookolewa wamekutana na kisanga gani? Ndo nimekumbana nayo tu online wakati nataka kuangalia news. Nipeni details wakuu.
Hivi kilitokea nini? Maana mimi sijui wanaookolewa wamekutana na kisanga gani? Ndo nimekumbana nayo tu online wakati nataka kuangalia news. Nipeni details wakuu.
Nacheki BBC live hapa home. Ni saa 6:15 usiku. Muda wowote mtu wa kwanza ataanza kutolewa humo machimboni
Tena best service. Hapa bongo sijui ingekuwaje
kila miner anataka kuwa wa mwisho!!!