Hosea skendo yake ya wikileaks iliishaje?
Kama CCM imeona Chenge, Lowassa na Rostam Aziz kuwa ni mafisadi, wala rushwa na waliojipatia mali kwa njia za wizi, je Takukuru wanangoja nini kuwaburuza mahakamani watu hawa? Au hawa vinara wa ufisadi ndio wamiliki wenyewe wa Takukuru?
Nashangaa toka PCCB imeanzishwa hadi leo ina nini cha kujivunia. Hivi hizi taasisi zinafanyiwa evaluation kweli? nini kigezo cha kuzifanya ziendelee kuwepo kama haziperform kwa ufanisi na zinapokuwa zimeshindwa kabisa kufanya kazi zilizokusudiwa?