Chenge ajiuzulu!

Ni jambo moja kwa Chenge kujiuzulu manake kumetoa fursa nyingine kwa serikali kujipanga upya, kwa maoni yangu anaefaa kumrithi ni Dr Maua Daftari, then Naibu wake awe ni mtaalam Mhe.DR. Wanyancha.

Hii itasababisha nafasi katika wizara ya Mifugo alipokuwa Mhe Wanyancha kama naibu Waziri, nafasi hii itamfaa sana Mbunge angalau wa ukanda wa Pwani ili kuchochea maendeleo katika sekta ya uvuvi sababu:

1. Waziri ni Magufuli toka Biharamulo
2. Katibu Mkuu ni mbara.
3. Mkurugenzi wa Uvuvi ni Mbara kutoka Manyara.
4. Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi na Maji ni Mhe. Cheyo.

Hii ina maana uvuvi wa bahari hauna nafasi kabisa ya uwakilishi katika nafasi ya maamuzi [decision making corridors] hivyo inabidi apatikane ''Mswahili'' ambapo nadhani Mbunge wa Mafia atakuwa ni chaguo zuri.


Mhe. Rais ana chaguo zuri sana la kuweza kusaidia sekta ya Miundombinu na pia wizara nyingine.
051007_robot_fish.jpg

natahadharisha tu..mbunge wa mafia angefaa tatizo ana kashfa ya kile cheti cha elimu ya form 4..ambayo ndiyo elimu kubwa anayodai kuwa nayo....nadhani kama ni ukanda wa bahari ni mkubwa mno na maziwa pia...kama uvuvi lingekuwa suala la muungano angetoka zanzibar....
 
The whole government MUST GO NOW! not just chenge. shinikizo inabidi lianzie ikulu kwenyewe maana hakuna kitu pale, huyo rais aliyeho very HOPELESS!
 
unajua marais wetu hapo ndipo wanapokosea
JK naye angejiuzulu tu,hapo angepata sifa za ajabu na kuwa mfano wa kuigwa duniani kote.

Im with u on this one..CCM 40yrs was enough kazi mmeshindwa..JK 2010 ni kuforce mambo tuu...he has not accoumplished anything so far apart from getting tanzanians to hate him...
 
Kuondoka kwa Chenge, ni one step tu kuelekea kwenye haki, lakini cha muhimu sasa ni kwa sisi wananchi kuanza kupanga mikakati ya kuwaimbia nyimbo viongozi wetu, ili hawa viongozi wafikishwe kwenye mikono ya sheria zetu za jamhuri, kama vile wezi wa kuku na mbuzi wanavyofanyiwa, kwa sababu tusifanye makosa ya kufikiri hapa, ni kwamba Chenge, amejiuzulu kwa sababu moja tu! Nayo ni kwamba hana maelezo ya kutosha kuhusu njia alizozitumia kupata hizo hela, na sio anything else,

Na sisi wananchi tulipokuwa tunatupa mawe, ya kumtaka ajiuzulu, ambayo yalianzia hapa JF, tulikuwa tunarusha tukilenga kwenye ukweli huo huo uliomfanya ajiuzulu, nao ni kuwa hawezi kuwa na maelezo ya kutosha of wapi amepata hizo hela na ni lini? The big picture hapa ni nani wengine wanaohusika na hizi hela, ambazo habari za juu juu zinasema kuwa hata kina Blair wanahusika na mgawo, hizi alizopewa Chenge ni ndogo sana kulinganisha na umuhimu wake mdogo kwenye the deal, we know that, sasa lazima tudai kujua nani wengine wanaohusika maana nina wasi wasi sana kuwa kuna wakubwa zaidi wanahusika na hii deal, kitu ambacho pia kinaashiria wasi wasi wangu mwingine wa ni kwa nini Mkapa, aliwabeba sana mtandao wakati wa uchaguzi wa rais? Je ilikuwa ni njama ya kutafuta wa kumsitiri?

Ndugu zangu wa-Tanzania, Mungu Aibariki Tanzania na tunaendelea na mapambano haya mazito, na inaonekana kuwa tuna kazi nzito mbele yetu, pamoja na tofauti za mitizamo yetu kiitikadi on how best kuleta mabadiliko ya taifa letu, wote tunajua one thing, kwamba adui yetu mkubwa ni mmoja, ni viongozi wabovu na mafisadi, kwenye hilo hatuwezi kuwa wavivu nalo, sasa the next step ni kujaribu kuwashawishi wabunge waweke miguu chini, ili hawa viongozi mafisadi watinge mahakamani.

Long Live Jambo Forums na Wananchi Wake!
 
Nadhani tunaona mengi kwenye hizi report zinazokuja..wataondoka wengi sana tuu!!
 
Chenge kafukuzwa hakujiuzulu.
  1. Majuzi akiongea na waandishi, Chenge alisema hatajiuzulu.
  2. Jana Kikwete akaingia DSM akitokea NYC, nafikiri hakusubiri hata hotuba ya Pope UN.
  3. Then, jana hiyo hiyo, Chenge anatangaza kuomba msamaha kwa kutumia neno vijisenti.
  4. Leo hii anatangazwa kuwa amejiuzulu.
Hivi hii ni trend ya kujiuzulu au amefukuzwa?

Kama amefukuzwa au kulazimishwa kujiuzulu (which is one and the same), kwa nini alidhani kuwa hatafukuzwa? Lipi lililokuwa linalazimisha yeye kuwapo madarakani hata baada ya kukataliwa na umma? Haya maswali yanahitaji majibu.
 
Hili na Liwe fundisho kwa Muungwana.........I mean JK be serious from now on!!

Hivi JK anajisikia je? kila anayemteua ni fisadi na anajiuzuru. Kama mimi ningekua Rais na mimi nigebwaga manyanga ,harafu ngoma inakua droo tunaona nani mjanja.
[/B]

Ningemshauri sasa JK awe karibu na JF na asikilize USHAURI unotolewa hapa kuliko kukutana na aibu hii

Narudia kwa mara nyingine tena, Mheshimiwa JK ni mtu mzuri na ana ubinadamu. Shida na maswali yetu ni kuhusu Uwezo wake wa kupambanua baya na jema tu…Well, asikate tamaa, hii ni nafasi yake nyingine kusafisha baraza… UShauri wangu ni kuwa aweke watu ambao hatawaogopa kuwafuta kazi wakiharibu


…In the meantime, since yeye ndio kashika mpini, ni vizuri kudeal na mafisadi ambao JK anaweza kuwabwaga au hata kuwashitaki mahakamani akiamua…EM

Watu tulikuwa na imani sana na Kikwete. Waona mbali walisema, tukadghani, aah, hawa nao wana wivu wa kike (kama wasemavyo baadhi), sasa tunajionea wenyewe... Tunakwishaaa…
Hamumjui Jakaya Kikwete. Mna assume ana nia nzuri.
 
Chenge kafukuzwa hakujiuzulu.
  1. Majuzi akiongea na waandishi, Chenge alisema hatajiuzulu.
  2. Jana Kikwete akaingia DSM akitokea NYC, nafikiri hakusubiri hata hotuba ya Pope UN.
  3. Then, jana hiyo hiyo, Chenge anatangaza kuomba msamaha kwa kutumia neno vijisenti.
  4. Leo hii anatangazwa kuwa amejiuzulu.
Hivi hii ni trend ya kujiuzulu au amefukuzwa?

LOWASSA alijiuzulu au kufukuzwa..?

balali alijiuzulu au kufukuzwa..?

nadhani hoja hapa iwe ameondoka basi!!

njia aliyoondokea anaijua yeye..

kwani warren G ..WETU Hapendi kumuudhi mtu..au hawezi kumuambia mtu jambo usoni...sijapata kusikia tangazo kutoka ikulu likisema.."..rais ...ameamua kumfukuza kazi....kwa kosa la..." muda mrefu sasa....
 
Chenge kafukuzwa hakujiuzulu.
  1. Majuzi akiongea na waandishi, Chenge alisema hatajiuzulu.
  2. Jana Kikwete akaingia DSM akitokea NYC, nafikiri hakusubiri hata hotuba ya Pope UN.
  3. Then, jana hiyo hiyo, Chenge anatangaza kuomba msamaha kwa kutumia neno vijisenti.
  4. Leo hii anatangazwa kuwa amejiuzulu.
Hivi hii ni trend ya kujiuzulu au amefukuzwa?

Kama amefukuzwa au kulazimishwa kujiuzulu (which is one and the same), kwa nini alidhani kuwa hatafukuzwa? Lipi lililokuwa linalazimisha yeye kuwapo madarakani hata baada ya kukataliwa na umma? Haya maswali yanahitaji majibu.


well alichofanya ni kumwambia swahiba wake ili jumanne anaporudi ofisini asipate aibu kwa watanzania "IT IS BEST IF YOU RESIGN SINCE I WILL BE FORCED TO TAKE YOU OUR AND YOU WILL LOSE YOUR RETIREMENT BENEFITS" tena with a pat on the back.

PLEASE MKUU TUNAHITAJI VIJISENTI VYETU VIRUDI, HIYO PENSION MPE MWENYEWE...GGGRRRRRRRRRRR
 
Mpaka sasa siamini kabisa kama Jakaya Kikwete na yeye sio fisadi. His 'cleanliness'...to me, just doesn't pass the believability test.
 
natahadharisha tu..mbunge wa mafia angefaa tatizo ana kashfa ya kile cheti cha elimu ya form 4..ambayo ndiyo elimu kubwa anayodai kuwa nayo....nadhani kama ni ukanda wa bahari ni mkubwa mno na maziwa pia...kama uvuvi lingekuwa suala la muungano angetoka zanzibar....

mimi nitakuwa more comfortable na Mbunge wa Mafia. Afterall hawa wenye ma PHD ndio wanatumaliza zaidi

najua ni extreme lakini ukichunguza tazama akina MKULO na elimu zao wana kashafa ngapi?
 
Mpaka sasa siamini kabisa kama Jakaya Kikwete na yeye sio fisadi. His 'cleanliness'...to me, just doesn't pass the believability test.
Ni juu yake yeye mwenyewe kutufumbulia fumbo hilo!If thats the case then aombe msamaha na hakuna kiongozi yeyote mwingine zaidi yake atakeyekuwa kwenye uongozi mpya!Aweke viongozi wapya,awawajibishe wengine wote waliohusika kwenye ufisadi!Kama kweli ana nia nzuri basi atajitoa muhanga kwa ajili ya maslahi ya wananchi!Akiwa upande wa wananchi..then wananchi watamlinda!Akichagua kujikita kwenye upande wa mafisadi.nasikitika kusema kuwa ni dola peke yake ndiyo itakayomlinda!Lakini mwisho wake hautakuwa mzuri na machafuko hayataweza kuepukwa pale yeye na viongozi wengine watakapokuja kuulizwa maswali magumu na pengine kufunguliwa mashtaka!The president has to be on the side of the people,embrace the people's views;bring them(fisadi's) to justice,ask for forgiveness from God and your people and reconciliation with your fellow countrymen,protect the country its people,and its resources should be used for the benefits of its people!Zaidi ya hapo historia itamgeuka!
 
We Want Everything New!imani Imetuishia Kabisa Na Hakuna Muda Wa Kupoteza!na Huko Tanzania..huu Ni Wakati Wa Kuanznisha Kampeni Za Kuwaamsha Watanzania,kuwashirikisha Kwenye Vita Hivi Dhidi Ya Ufisadi..kuanzisha Kampeni Ya "mwamko Kwa Watanzania"ni Jukumu Letu Kuilinda Nchi Yetu Kwa Ajili Yetu Na Pia Vizazi Vijavyo!
 
Yeyote aliye karibu na JK au kiongozi mwingine wa juu wa Serikali, tafadhali wafikishieni huu ujumbe wa frustration zetu:

Hili linchi linatuumiza tu roho na kutia uvivu, Tumuuzie mmarekani afanye Dampo la Nyuklia tugawane pesa kila mtu akatafute maisha kwingine.

Imefikia sehemu nimekata tamaa.
 
Ndugu wana jf;
Ni wazi kuwa tumeshalipigia kelele sana hili suala la Ufisadi hapa jf!Tulishawahi kuweka wazi kwenye thread kadhaa..nyingine ambayo pia niliianzisha..kwamba Mh Rais alitakiwa atangaze "state of alertness"kwani issue ni ya kushtua mno!
Lakini kumbe wenzetu wako kwenye dunia ya tofauti mpaka watoke madarakani(ie Kiula) ndio wana uwezo wa kuona kuwa hali ni ya hatari!Kwa taarifa yao sisi hapa jf..kwa niaba ya wanyonge na masikini,tanzania pamoja na wengine wote waliopo around the world tulishaweka wazi kuwa hii issue lazima iende na watu.
Kiula tunamkaribisha licha ya kwamba tunajua ana bifu na Mkapa!Wananchi hawana haja ya kuanza kufikiria ni nani wa kumpa madaraka!BALI WANATAKA UWAJIBIKAJI KWANZA ILI NEXT TIME YEYOTE ATAKAYEPEWA MADARAKA AJUE CONSEQUENCES ZA UFISADI!
Wana jf sisi sasa hivi hatutaki ushabiki wa vyama uchangaywe na issue ya ufisadi..(Only pale tunapo mention wakina Slaa na mashujaa wengineo) Hii ni kwasababu hata wapinzani wenyewe wakipewa madaraka kabla ya mafisadi kuwajibishwa then hata wao hawataogopa kuitumia system mbovu na sheria tata zilizoachwa na mkoloni kuendelea kumyonya mtanzania mwenzake!
Accountability first...then watakaopewa madaraka later watajifunza kutokana na historia!Wananchi wajue kuwa tuko vitani!Vita dhidi ya UFISADI!
Vita ambavyo ni lazima either wananchi ama mafisadi mshindi ni lazima apatikane!Na kama mafisadi wakishinda..then historia itakisuta kizazi hiki mbele ya vizazi vyetu vijavyo kwani havitaamini kwamba tulikuwa na akili timamu kama ufisadi ukiprevail!
On the other side kama tukishinda then tutakuja hapa jf tena kwa niaba ya wananchi kujipongeza na kujijengea historia madhubuti na ushujaa wa kushinda vita hivi dhidi ya ufisadi!
Long live Tanzania..LONG LIVE ITS PATRIOTIC PEOPLE!
 
Ndugu wana jf;
Ni wazi kuwa tumeshalipigia kelele sana hili suala la Ufisadi hapa jf!Tulishawahi kuweka wazi kwenye thread kadhaa..nyingine ambayo pia niliianzisha..kwamba Mh Rais alitakiwa atangaze "state of alertness"kwani issue ni ya kushtua mno!Lakini kumbe wenzetu wako kwenye dunia ya tofauti mpaka watoke madarakani ndio wana uwezo wa kuona kuwa hali ni ya hatari!Kwa taarifa yao sisi hapa jf,tanzania pamoja na wengine wote waliopo around the world tulishaweka wazi kuwa hii issue lazima iende na watu.Kiula tunamkaribisha licha ya kwamba tunajua ana bifu na Mkapa!Wananchi hawana haja ya kuanza kufikiria ni nani wa kumpa madaraka!BALI WANANTAKA UWAJIBIKAJI ILI NEXT TIME YEYOTE ATAKAYEPEWA MADARAKA AJUE CONSEQUENCES ZA UFISADI!Wana jf sisi sasa hivi hatutaki ushabiki wa vyama uchangaywe na issue ya ufisadi..Hii ni kwasababu hata wapinzani wenyewe wakipewa madaraka kabla ya mafisadi kuwajibishwa then hata wao hawataogopa kuitumia system mbovu na sheria tata zilizoachwa na mkoloni kuendelea kumyonya mtanzania mwenzake!Accountability first...then watakaopewa madaraka later watajifunza kutokana na historia!Wananchi wajue kuwa tuko vitani!Vita dhidi ya UFISADI!Vita ambavyo ni lazima either wananchi ama mafisadi mshindi ni lazima apatikane!Na kama mafisadi wakishinda..then historia itakisuta kizazi hiki mbele ya vizazi vyetu vijavyo kwani havitaamini kwamba tulikuwa na akili timamu kama ufisadi ukiprevail!On the other side kama tukishinda then tutakuja hapa jf tena kwa niaba ya wananchi kujipongeza na kujijengea historia madhubuti na ushujaa wa kushinda vita hivi dhidi ya ufisadi!Long live Tanzania..LONG LIVE ITS PATRIOTIC PEOPLE!

MJOMBA SPACING...
 
Back
Top Bottom