Shukuru
JF-Expert Member
- Sep 3, 2007
- 748
- 15
Mwalimu Kibogoyo aliingia darasani kufundisha somo la Kiingereza na kabla ya kuanza kufundisha, akaanza kwa chemsha bongo ndipo alipomuuliza mwanafunzi mmoja swali, ilikuwa hivi:
Mwalimu: Nyumba ya ghorofa kwa kiingereza inaitwa Losheni, je nyumba ndogo inaitwaje? Enhe! Kifudu jibu.
Mwanafunzi: Inaitwa pafyumu
e e jamani.
Mwalimu: Nyumba ya ghorofa kwa kiingereza inaitwa Losheni, je nyumba ndogo inaitwaje? Enhe! Kifudu jibu.
Mwanafunzi: Inaitwa pafyumu
e e jamani.