Chemistry

mi sjui kizungu ila nawe Nyani punguza sifa, hivi unajuaga misamiati tu ya kizungu? mbona forum za majuu wanaandika kizungu kirahisi hata sisi f4 tunaelewa?

we ulisomea sayari ya Mars? mi sjaelewa, kha nde mgaya sida
 
Kwa hiyo unatufanyia makusudi wengine ili tusichangieee!!!!

huyu jamaa sjui alijifunzia kingereza kwenye kamusi au ni kutafuta 'attention' za Jf! dah tabia za wabongo hatai hatai, kwani ukiandika cha kawaida si sawa tu? unaboa mkubwa aagh ka hutaki tuchangie simulia wazungu wenzako

cc: lusungo
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo unatufanyia makusudi wengine ili tusichangieee!!!!

huyu jamaa sjui alijifunzia kingereza kwenye kamusi au ni kutafuta 'attention' za Jf! dah tabia za wabongo hatai hatai, kwani ukiandika cha kawaida si sawa tu? unaboa mkubwa aagh ka hutaki tuchangie simulia wazungu wenzako

cc: lusungo
 
Last edited by a moderator:
nw chemistry z gone wory nt my kaka u just WAIT FOR GEOGRAPHY to come n show u where ur position is.
wait ma dia!!!!!

very soon u wl knw yr longitude n latitude !!!!!!!!!!
pole mwaya!!

Dah, umentoa stress zangu aisee, Asante sana
 
huyu jamaa sjui alijifunzia kingereza kwenye kamusi au ni kutafuta 'attention' za Jf! dah tabia za wabongo hatai hatai, kwani ukiandika cha kawaida si sawa tu? unaboa mkubwa aagh ka hutaki tuchangie simulia wazungu wenzako

cc: lusungo


Tatizo liko wapi? kaandika anayeweza kimombo achangie shida iko wapi hapa kwani kila thread mtu lazima uchangie? Ukiona huna point, haikuvutii au lugha iliyotumika huipendelei au huiwezi si unaachana? Watanzania tumesoma kwa lugha mbili Kiswahili na Kiingereza kwa walioenda mbali kwahiyo hizi lugha mbili zote ni halali kutumika Jamii ukiweka Kijerumani, Kireno, Kihispania, Kirusi, Kisukuma, kipare, kichagga, kinyakyusa, kihaya na zingine dialects au lugha ambazo hatujasomea Tanzania ndio unakuwa unaboa au mjivuni lakini Kiswahili na kiingereza ni halali ukizingatia pia ni lugha maalumu za serikali ya Tanzania
 
Asipoandika hizo archaic words mtamuonaje kama mjuaji?
Maisha yamemkaanga hana mbele wala nyuma anachojivunia ni kusoma na kukariri hiyo misamiati chakavu na kuwaandikia humu...
Dawa yake ni kumpuuza tu wabeba box wengi hupenda kujifanya wajuaji...


Toa hoja sio kuongea kwa jaziba yeye kuandika kwa kiingereza tatizo wapi kwani college wee ulisoma kwa lugha gani? Na mitihani uliandika kwa lugha gani? Iwapo hukwenda college walionda college Tanzania walisoma kwa Kiswahili? Sio lazima wajua kiingereza ni walio nje mie nimesoma Tanzania hapa hapa sioni tatizo kwa yeye mbeba box kuandika kwa kimombo na si kweli wote ni wajivuni hiyo ni stereotyping, generalization na stigmatization kwa wasomi hawana haya ya kuona mtu mmoja unajumlisha wote maana kila kesi iko tofauti na nyingine huwezi kujumlishakwa wote basi utakuwa na lako jambo dhidi ya walio nje ya nchi
 
mi sjui kizungu ila nawe Nyani punguza sifa, hivi unajuaga misamiati tu ya kizungu? mbona forum za majuu wanaandika kizungu kirahisi hata sisi f4 tunaelewa?

we ulisomea sayari ya Mars? mi sjaelewa, kha nde mgaya sida


Ndio uandishi wetu waafrika ulishasoma vitavu vya Chinua Achebe anatumia misamiati migumu tupu nafikiri ni utamaduni wetu tunaojifunza kuongea lugha ya pili kutumia misamiati migumu ni sawa na kujifunza lugha ya kabila jingine utajua matusi kwanza kabla ya mengine
 
Toa hoja sio kuongea kwa jaziba yeye kuandika kwa kiingereza tatizo wapi kwani college wee ulisoma kwa lugha gani? Na mitihani uliandika kwa lugha gani? Iwapo hukwenda college walionda college Tanzania walisoma kwa Kiswahili? Sio lazima wajua kiingereza ni walio nje mie nimesoma Tanzania hapa hapa sioni tatizo kwa yeye mbeba box kuandika kwa kimombo na si kweli wote ni wajivuni hiyo ni stereotyping, generalization na stigmatization kwa wasomi hawana haya ya kuona mtu mmoja unajumlisha wote maana kila kesi iko tofauti na nyingine huwezi kujumlishakwa wote basi utakuwa na lako jambo dhidi ya walio nje ya nchi

Sijawajumuisha wote ndo mana nikasema wengi na si wote...
Sijamjibu mtoa kiingereza nimemjibu aliyemjibu mwandika kiingereza...

Sijaona point yoyote hapo zaidi ya multiple id
 
Ndio uandishi wetu waafrika ulishasoma vitavu vya Chinua Achebe anatumia misamiati migumu tupu nafikiri ni utamaduni wetu tunaojifunza kuongea lugha ya pili kutumia misamiati migumu ni sawa na kujifunza lugha ya kabila jingine utajua matusi kwanza kabla ya mengine

Hivi kigumu hapo ni nini lakini?
 
Sijawajumuisha wote ndo mana nikasema wengi na si wote...
Sijamjibu mtoa kiingereza nimemjibu aliyemjibu mwandika kiingereza...

Sijaona point yoyote hapo zaidi ya multiple id


Lakini ukiishasema wengi wao maana yake almost wote wako vile kwasababu umechukua takwimu na kuona wengi wao na ikiisha kuwa wengi maana yake karibia wote ndivyo walivyo kuondoa stigmatization tunasema baadhi yao maana haitawakilisha katika idadi au asilimia
 
Hivi kigumu hapo ni nini lakini?


Hakuna ugumu wowote umeandika vyema mie niliwakumbusha tu kuwa kuna waandishi pia kama akina Chinua Achebe walitumia lugha ngumu na hawakudhihakiwa na wazungu bali walipewa tuzo na wazungu maana wazungu waliangalia zaidi contents za dibaji zao sio style, lugha, mtiririko wala majina yaliyoyumika kitabuni
 
Kwa hiyo unatufanyia makusudi wengine ili tusichangieee!!!!


Sio kila hoja lazima uchangie inategemea na thread iwapo inakuvutia, unachakusema, unachakuchangia, lugha iliyotumika unaiweza kujibishana nao mathalani ni thread ya matusi nawe ni swala tano au umeokoka, thread imetumia lugha uliyoconfortable kuchangia. Kwahiyo sio kila thread lazima uchangie zingine unapita na kusoma wengine wameandika nini lasivyo utaonekana kasuku unayependa kujisikiliza hoja zako kwa kuchangia kila kitu
 
how 'boutclear blue sky

Teh teh teh

Americans huwa wako mbovu sana kwenye grammar halafu wakitumia na misamiati ya American English kwa vinega hupata tabu but wafwatilie grammar yao utachoka mwili..Akili na Roho..
 
Sio kila hoja lazima uchangie inategemea na thread iwapo inakuvutia, unachakusema, unachakuchangia, lugha iliyotumika unaiweza kujibishana nao mathalani ni thread ya matusi nawe ni swala tano au umeokoka, thread imetumia lugha uliyoconfortable kuchangia. Kwahiyo sio kila thread lazima uchangie zingine unapita na kusoma wengine wameandika nini lasivyo utaonekana kasuku unayependa kujisikiliza hoja zako kwa kuchangia kila kitu

Nilikua namuambia Nyani we mi sijakusemeshaa au we ndio nyanii huwez kunipangia pa kuchangiaa
 
Last edited by a moderator:
You are really drawn to a person. You begin to date and the chemistry grows stronger and stronger. You take things to the next level and it becomes exclusive and everything is hunky dory, kosher, and fine and dandy.

Then one day out of a clear blue sky you don't feel the same attraction any longer. It's gone. It's kaput!

What happened? Is it because the mystery is gone and you know too much about the person too soon?

Or is it because you created some fantasy chemistry that doesn't even exist in the real world?

Why would a person lose attraction to their partner like that? What is the cause for the emotional connection breakdown?

You are all welcome to chime in.....

napita
 
mi sjui kizungu ila nawe Nyani punguza sifa, hivi unajuaga misamiati tu ya kizungu? mbona forum za majuu wanaandika kizungu kirahisi hata sisi f4 tunaelewa?

we ulisomea sayari ya Mars? mi sjaelewa, kha nde mgaya sida

utoto unamsumbua
 
Nilikua namuambia Nyani we mi sijakusemeshaa au we ndio nyanii huwez kunipangia pa kuchangiaa


UngePM iwapo ni personal akina Msingwa na Lusungo mbona wamedakia hujawaambia kuwa wakuache ujibishane na Nyani? Wee ndo usimpangie Nyani cha kuandika na lugha ipi ajibu, sio kila hoja lazima uandike umezidi kiherehere wee nani? Huna kazi kila thread upo huoni hata haya? Almost kila thread lazima uchangie huwezi soma zingine ukaacha au unatafuta kuwa popular jamii?
 
We Dina mimi siyo huyo jamaa bana....ntakuchapa.

Nashangaaa anavyoingiliaa mimi nilikua nakuambia wew lakin ye kayavalia njuga au ndio yule ulikua unamsubiri akupe like maana nashindwa kumuelewaaa!!!!!!mwishowee niongee broken bureee
 
UngePM iwapo ni personal akina Msingwa na Lusungo mbona wamedakia hujawaambia kuwa wakuache ujibishane na Nyani? Wee ndo usimpangie Nyani cha kuandika na lugha ipi ajibu, sio kila hoja lazima uandike umezidi kiherehere wee nani? Huna kazi kila thread upo huoni hata haya? Almost kila thread lazima uchangie huwezi soma zingine ukaacha au unatafuta kuwa popular jamii?

Ndugu, naona watu washaanza kuhisi kuwa wewe ni mimi. Vichekesho!:loco:

Mhakikishie Dina kuwa wewe si mimi, asije akanifikiria vibaya bure.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom