kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Alitoa blauzi,na mimi nikatoa shati,
akatoa sindiri,na mimi nikatoa vesti,
akatoa sketi,na mimi nikatoa suruali,
akatoa skintyt,na mimi nikatoa bukta,
akatoa chupi na mimi nitakatoa chupi.
tukabaki tunaangaliam a,ikabidi nitoe pochi nilipie,ndo tukamaliza shopping.
uliwaza nini sasa??
akatoa sindiri,na mimi nikatoa vesti,
akatoa sketi,na mimi nikatoa suruali,
akatoa skintyt,na mimi nikatoa bukta,
akatoa chupi na mimi nitakatoa chupi.
tukabaki tunaangaliam a,ikabidi nitoe pochi nilipie,ndo tukamaliza shopping.
uliwaza nini sasa??