cheka unenepe

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
268
Alitoa blauzi,na mimi nikatoa shati,
akatoa sindiri,na mimi nikatoa vesti,
akatoa sketi,na mimi nikatoa suruali,
akatoa skintyt,na mimi nikatoa bukta,
akatoa chupi na mimi nitakatoa chupi.
tukabaki tunaangaliam a,ikabidi nitoe pochi nilipie,ndo tukamaliza shopping.

uliwaza nini sasa??
 
Alitoa blauzi,na mimi nikatoa shati,
akatoa sindiri,na mimi nikatoa vesti,
akatoa sketi,na mimi nikatoa suruali,
akatoa skintyt,na mimi nikatoa bukta,
akatoa chupi na mimi nitakatoa chupi.
tukabaki tunaangaliam a,ikabidi nitoe pochi nilipie,ndo tukamaliza shopping.

uliwaza nini sasa??

kaka acha kutuzuga kaka..tunajua kilichofuata
 
hahahaaa nilkua nasubiria baada kutoa vyoote nikajua sasa ni kuwekaaaaa hahahaaa lo
thanx
 
Alitoa blauzi,na mimi nikatoa shati, akatoa sindiri,na mimi nikatoa vesti, akatoa sketi,na mimi nikatoa suruali, akatoa skintyt,na mimi nikatoa bukta, akatoa chupi na mimi nitakatoa chupi. tukabaki tunaangaliam a,ikabidi nitoe pochi nilipie,ndo tukamaliza shopping. uliwaza nini sasa??
Ni nini hii?
 
"ikabidi nitoe pochi nilipie,ndo tukamaliza shopping. uliwaza nini sasa??" Mi kwa kweli niliwazia hili duka lipo mtaa gani? dahh... inachekesha......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom