Chege ajibu madai ya Juma Nature kulipwa laki 5 tamasha la Wasafi

Hziyech22

JF-Expert Member
Jun 8, 2019
13,583
18,915
Msanii anayeunda kundi la TNC (Temba, sir nature na chege) chege amefunguka kuwa amestajabishwa na comment ya Sir Nature sina uhakika Yule ni nature mwenyewe kwenye social media kudai kalipwa laki 5 ameongea kuwa nyuma ya nature kuna watu wanampoteza afanye ujinga kwasababu sizani diamond anaweza kumlipa hiyo hela sisi wenzake hatujapewa hela kama hiyo iweje iwe yeye? Ameuliza kuna vitu havijakaa sawa yeye na watu ambao wapo nyuma yake.

NB: Wadau naona sakata linakuwa zito sijui tumuamini nani na nini maoni yenu
 
Nature aheshimiwe kwa maamuzi yake,kila msanii ana price tag yake ya kuperform jukwaani,Hata Mondi alikosana na Ruge kisa maslahi.
Ili aheshimiwa ilibadi pale waliposhindwana maslahi binafsi wayamalize hukohuko kiofisi, kitendo cha kuibua hoja mitandaoni ni kuruhusu kila mtu atoe maoni kwa mtizamo wake kwahiyo kukosolewa anastahili pia kama vile anavuostahili kusifiwa na wanoona yuko sawa
 
Ili aheshimiwa ilibadi pale waliposhindwana maslahi binafsi wayamalize hukohuko kiofisi, kitendo cha kuibua hoja mitandaoni ni kuruhusu kila mtu atoe maoni kwa mtizamo wake kwahiyo kukosolewa anastahili pia kama vile anavuostahili kusifiwa na wanoona yuko sawa
Hakuibua mtandaoni Bali alijibu kwanini ametangazwa na hajaonekana
 
Kujibu ndo kuibua mjadala siyo kila jambo ni la kujibu, mengine anatakiwa achukue hatua na kukaa kimya, hatua ndo kama hiyo kukataa, sasa kukataa na kuweka makubaliano hadharani wakat awali ilikua ni siri ya yake na boss wake hapo ndo aliporuhusu mijadala
Asingejibu angeweza kuzushiwa chochote Kama utapeli au hata waandaaji nao wangeonekana matapeli.
 
Back
Top Bottom