CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,871
hv nyie watu St. Paka Mweusi na wakati ndio sasa mna wazimu ama mapepo. mnawezaje kuusemea moyo wa mtu? kha hebu mnipishe mie cjakubali wala nini. . . mshindwe na mlegezwe kunako n.y.e.t.i zenu!!!!!!
Si useme tu unakataa kwa kuwa mama yupo mbona jana..............................
Wameyataka wao wenyewe.
jana nini, we ngoja dawa yenu ndogo. . . ntawaendea kwa manyau nyau awapige busha ndo mtakoma!
My love charminglady angalia sana maneno yako,hivi leo hii nalegea kweli nyeti au nakua na busha,unazania utafurahia nini raha ya ndoa?,kumbuka maneno yote haya yapo kwenye kumbukumbu,...angalia utaumbuka?lakni kwakua ninamapenzi ya dhati kwako ngoja nisemetu kuwa MANENO MAKALI TOKA KWAKO HAYATAZUIA UPENDO KWAKO,NDIO YANA FANYA MIZIZI YA MAPENZI IZIDI KUSTAWI,nakupenda sana kipenzi changu
natamani ungekuwa katika hayo mabasi yalopata ajali. . .
Duuuuuh! Unatia huruma sana!
natamani ungekuwa katika hayo mabasi yalopata ajali. . .
mmmwaaaaa!
Hee!
Mna maana huyu binti hajanasika tunduni tu ?
Yaani tangu jana! Majanki mbona mnatuabisha kaka zenu khaaa!
Mavijanaa wa sasa mmekuaje?
Particulary wewe TIMES IS NOW !
Hembu kazia hukumu hii makitu!
Utaniuzi ujue?
mmmh charminglady sizani kama upo sahihi eti kwakua umependwa/kutongozwa.mzima lakini wewe?
mkuu wakati ndio sasa nimependa vile ambavyo unapambana na makombola huku ukiwa una songa mbele,big up sana naomba ukaze buti kwa kua unavyozidi kusonga mbele naona mashambulizi zidi ya upande wa pili yanazidi kuwa makali buta usihofu freedom is coming tomorrow,lazima utafanikiwa kwakua mateso yakizidi ujue wokovu umekaribia
good! moto hauzimwi kwa petrol,your very technical man ukifanikiwa wala sita shangaa kwakua mbinu zako zote ni za ushindi.
please charminglady you must think twice in this