St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,634
- 4,519
Hizi ni habari nilizozishuhudia jana usiku wa manane wakati watu wote wamelala charminglady alikuwaa bado anasoma kwa makini mistari ya wakati ndio sasa na ilinichukua muda kuamini kama zile hasira zote alizokuwa nazo kwa kijana wetu zimeanza kuyayuka.Kwa mlio karibu naye hasa beibe nasty naomba mje mtuthibitishie....na natanguliza hongera kwa kijana kwa moyo wa uvumulivu alioonyesha mpaka kufikia hatua hii muhimu....
Last edited by a moderator: