Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,208
- 42,068
Naamini utafanikiwa kwani hadi sasa ujavunja sheria unaenda kwa utaratibu unaotakiwa.
Umenifurahisha sana your calm.
Nahii ina kuongezea credit, dont Give-up
Umenifurahisha sana your calm.
Nahii ina kuongezea credit, dont Give-up
kupenda kubaya mkuu,i wish ungeniona yaan ninajieleza huku nimepiga magoti