Reprt ya TWAWEZA East Africa inaonesha wanafunzi wa Tz waliokuwa Darasa la saba (7) waliofaulu mtihani wa darasa la PILI (CLASS 2) hawakufikia 40%... Hakuna KIINGEREZA HAPO kwani katika Kiingereza matokeo yake usiyaone...UTAKUFA KWA KIZUNGUZUNGU.....Ni kweli chanzo cha kushuka kwa elimu ni lugha kwasababu lugha inayotumika kufundishia mashuleni ni lugha ngeni.Inatakiwa kiswahili kipewe kipaumbele zaidi kuliko linavyofanywa kama somo shuleni.
kumbe umeona tatizo likowapi na sio wote waliozaliwa wanajua kiingereza wamejifunza na sio wote wenye uwezo wa kusoma kwenye shule zenye uwezo since awali.hao wa nchi nyingine za asia, afrika wanatumia lugha gani? swala la kutokujua kiingereza ni uzembe wa mtu mwenyewe