Mzee mwenzangu Rejao, uzee huu nimepitia mengi, sasa uzee umechukuwa nafasi nimebaki kunusa ugoro tu hapa nyumbani na mkongojo wangu.....................ha ha hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaHa ha ha haaah...lol, mtambuzi, sijui hii imenipitia wapi!!
Nimependa simulizi lako..full kuvunjika mbavu hapa!
Hahahahahahaa..., Mtambuzi kumbe ni mtu wa fix this much, duh...!
Amigo unatwanga kiswazi tena kile cha mwananyamala, duh we mkare:lol::lol::lol:
meeda enzi hizo ilikuwa ni balaa. Dj alikuwa ni huyu mtangazaji wa eatv wa kipindi cha skonga.
Kipofu nimeona mwezi.....................
Ha ha ha haaaaaa..............Kwa mara ya kwanza leo PAW kaweka comment kwenye uzi wangu, kaazi kweli kweli..........
Mkuu naheshimu sana uwepo wako katika uzi huu, naomba usichoke kusoma ujinga wangu, karibu sana...................................LOL