Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Mwenzetu alipata misukusuko kazini yapata miezi nane iliyopita.
Ameyumba na sasa amefukuzwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi.
Wazazi wa mke wake wapo hapa Dsm na sasa wanamtaka mkwe wao akaishi nao nyumba moja.
Ungekuwa wewe ungefanyeje?
Ameyumba na sasa amefukuzwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi.
Wazazi wa mke wake wapo hapa Dsm na sasa wanamtaka mkwe wao akaishi nao nyumba moja.
Ungekuwa wewe ungefanyeje?