mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,895
- 106,188
Misambwanda utaiachajeTatizo ni wazuri sana, na wakishamaliza chuo huwapati tena!
Acha waliwe tu
Ova
Misambwanda utaiachajeTatizo ni wazuri sana, na wakishamaliza chuo huwapati tena!
Wanafumulowq sana marinda haoHakuna anaerubuniwa bali watoto wa siku hizi hawana mshipa wa aibu.ni wakware mno.
Hawataki kusoma.
Ukitaka kuujua ukweli nenda hospitali kama MARIE STOPES mwenge upate record za abortion na magonjwa ya zinaa kwa siku wanafunzi wa Ustawi wa jamii kijitonyama.
Unaweza usimpeleke mtoto chuo..
Pia uliza walinzi wa pale chuo upate taarifa.
Yani bila hata rushwa wenyewe wanaomba kufanyiwa hayo mambo.
Wanafanya INVITATION TO TREAT ie wanaacha kila kitu waz ili ushoboke nao wakuweke mtu kati uwape majibu.
Kwa ustawi hadi walezi wamechoka kuona mambo ya hovyo yanayofanywa na wale watoto.
Itafika mahali hata uzao utakuwa shida.
Kuna mmoja nilimuuliza kuhusu abortion÷alisema kama abortion isingekuwepo mneenda kuokota vitoto vingi maeneo ya chuo,
Hatari sana
Malecture vyuoni huko wanawazibua watoto wa kike mitaro aiseNakazia hapa.
Mwqnqfunzi anavaa mpasuoKwani sisi wengine hatujasoma chuo? Au hatujasoma na hao watoto wa kike?
Ukweli ni kwamba mwanafunzi ndo anatengeneza mazingira ya kutakwa na lecturer, hata uwe mzuri km uko serious na mambo yako na hakuna upenyo lect akakupata, hutosumbuka.
Huyo lect atakutaka km ambavyo atamtaka asiye mwanafunzi, na ukimkataa ataelewa pia, kikubwa ni kuziba mianya ya lect kukupata.
Duh,vp unawachakata sana basiSi kwamba ninaunga mkono haya yanayoendelea, ila watoto wa kike siku hizi wamekuwa wahuni sana. Wao wenyewe wanakwambia kwenye mikoba yao morning after pills hazikosekani. Wanafanya sana ngono zembe.
Mimi ni mdau kwenye elimu ya juu kwenye chuo kimoja kikongwe hapa nchini. Kwa semista moja, huwa inatokea mabinti wawili hadi wanne kunitaka kimapenzi. Na hao huwa wanakuja wenyewe.
Bahati mbaya sana hakuna anayejali kero za aina hii kutoka kwa KE. Kinachoangaliwa ni usumbufu wa ME kwa KE. Sasa, TAKUKURU itakapochunguza hilo suala, watoe nafasi pia kwa wahadhiri wa kiume nao watoe yao ya moyoni. Mtagundua kwamba hao mnaowatetea ni wachafu kupitiliza.
There's more to life than meets the eye.
Hapa tu ndo unapokosea ila huko juu umeandika vzuri sana. Mkuu amini hivyo ila hali ni mbaya sana tena wanakingiana mpaka vifuaHakuna mhadhiri anaweza kumnyanyasa kingono na hata kumfelisha binti makini anayesoma na kuhudhuria vipindi vyake vyote.
Weka picha nduguHii ni issue ambayo currently inamsumbua mdogo wangu anaesoma St Augustine.
Nadhan mada ingesema tatizo la Ngono vyuoni na Sio Rushwa ya Ngono, Rushwa how!? mtu anatoka mwili wake Kwa mabadilishano ya hiari, uwaingize takukuru!?Tatizo ni wazuri sana, na wakishamaliza chuo huwapati tena! 😁
kweli umeshindwa kuisolve hii, mwambie mdogo wako amkubalie, waende lodge ,mkifumania mnamrekodi,, ,,so mkiwa na video zake mdogo wako atapewa favour balaa ili zisivujeHii ni issue ambayo currently inamsumbua mdogo wangu anaesoma St Augustine.
Hapa tu ndo unapokosea ila huko juu umeandika vzuri sana. Mkuu amini hivyo ila hali ni mbaya sana tena wanakingiana mpaka vifua
Nipe namba yake nimuoeHili kila mtu analijua.
Nina rafiki yangu yeye alienda kuomba nafasi hotel moja hapa dsm. Alipofika kule kama kawaida manager akamwambia nipe nikupe. Demu akanipigia nimeambiwa moja mbili tatu. Nikamwambia mshkaj wangu usijaribu utaishia kuwa mtumwa wa ngono, sababu ukimpa ngono ili upate kazi kila atakapokuhitaji lazima ufanye hivyo na huwez kumkatalia sahiv yupo zake anasuka kila sehemu anayoenda wanamtaka ngono. Vyeti kafungia kaamua awe msusi
Hata sihangaiki nao. Hawa wanafunzi wanapenda 'kiki'. Ukitoka naye, huwa wanatangaza. Yakifika kwenye management, kamati huundwa kuchunguza. Ukibainika, kazi huna. Wahadhiri wengi tu wamefutwa kazi kwa sababu ya haya masuala (violation of code of conduct).Duh,vp unawachakata sana basi
We watafune tu hao maana badaye hawakawi kuwa viongozi au wapo kwenye nafasi fulani
We tandika tu
Ova
Wanawake wengi hucheza kitu tunaita 'victim card'. Hata mke wa mtu akijitongozesha kwako, atasema yeye ni mhanga wa mambo fulani ili umuonee huruma. Ndio hawa watoto sasa. Kuna matukio makubwa tu.Hilo haliwezekani.
Huenda wakawa waongo ila wengi mm naongelea marafik naowafahamu yeye haoni shida kukwambia mtu fulani anataka hiv na hv, tangu anaanza unaona mabadiliko mdogo mdogo anazoea kabsa, inabd umuache tu hata ukiongea nae hawez tena
pole sana kwake. wekeni mtego mmbake huyo jamaaHii ni issue ambayo currently inamsumbua mdogo wangu anaesoma St Augustine.
Duh lecturer alikuwa pangaKuna dogo alikuwa analazimishwa kumla mkufunzi shoga, mkufunzi alipokataliwa dogo alibakizwa chuo hakuhitimu.
Nilimshauri aende Takukuru maana alikuwa na hadi text za whatsApp sijui aliishia wapi na zaga lake.