Changamoto kwa Chadema

HM Hafif

JF-Expert Member
Aug 16, 2009
1,359
20
Chadema ni chama cha siasa chenye changamoto nyingi sana hususan kukifanya chama hicho kiwe na sura ya kitaifa na sio kikanda, kikabila na kidini

Kwa sasa ni chama kilichoshika katika mikoa ya kanda ya ziwa, na kanda ya mashariki ambako ndio chimbuko na ngome yake kuu.

Lakini chama hiki mpaka leo kinatumia pesa nyingi sana kuelekeza sehemu hizo badala ya kuelekeza Tanga, Morogoro, Dar hususan temeke na kigamboni na ukonga , Mtwara, Lindi na visiwa vya unguja na Pemba ili kiwe na mtazamo wa kitaifa.

Najua wengi watauliza Chadema Dar ipo, lakini kwa mwenye akili utaona wazi waliposhinda ubunge ni ngome kubwa ya watu wa kaskazini. yaani watu wangi wa kaskazini utawapata mbezi, kimara, ubungo, chuo kikuu, sinza, samaki, mpaka boko. watu hawa ni very rare kuwaona temeke, mbagala n.k

Hiyo inazidi kuashiria kuwa chama hiki ni cha kikanda na kina harufu kali sana ya Udini ambayo kwa siri sana wanaitumia katika kupata majority support.

Mtazamo wangu ,CHADEMA ili kiweze kushika nchi yenu ni lazima kiwe chama cha kitaifa badala ya sasa kuwa Chama cha mikoa fulani au makabila fulani fulani.

Hiyo ni changamoto kwa Chadema.
 
Chadema ni chama cha siasa chenye changamoto nyingi sana hususan kukifanya chama hicho kiwe na sura ya kitaifa na sio kikanda, kikabila na kidini

Kwa sasa ni chama kilichoshika katika mikoa ya kanda ya ziwa, na kanda ya mashariki ambako ndio chimbuko na ngome yake kuu.

Lakini chama hiki mpaka leo kinatumia pesa nyingi sana kuelekeza sehemu hizo badala ya kuelekeza Tanga, Morogoro, Dar hususan temeke na kigamboni na ukonga , Mtwara, Lindi na visiwa vya unguja na Pemba ili kiwe na mtazamo wa kitaifa.

Najua wengi watauliza Chadema Dar ipo, lakini kwa mwenye akili utaona wazi waliposhinda ubunge ni ngome kubwa ya watu wa kaskazini. yaani watu wangi wa kaskazini utawapata mbezi, kimara, ubungo, chuo kikuu, sinza, samaki, mpaka boko. watu hawa ni very rare kuwaona temeke, mbagala n.k

Hiyo inazidi kuashiria kuwa chama hiki ni cha kikanda na kina harufu kali sana ya Udini ambayo kwa siri sana wanaitumia katika kupata majority support.

Mtazamo wangu ,CHADEMA ili kiweze kushika nchi yenu ni lazima kiwe chama cha kitaifa badala ya sasa kuwa Chama cha mikoa fulani au makabila fulani fulani.

Hiyo ni changamoto kwa Chadema.

wewe NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK! Una uhakika jimbo la kawe lina wachaga wengi? Ina mana wafanyakazi wa BOT ie Vick Kamata ni mchaga? Wanafunzi wengi wa UDSM ni wachaga? Fanya utafiti kabla ya kuongea. Je kanda ya ziwa ni wachaga? Mbona husemi CCM ni wadini kwan wameshinda maeneo ya Kiislam kv tanga,pwani,mtwara,kigoma na unguja?
 
Chadema ni chama cha siasa chenye changamoto nyingi sana hususan kukifanya chama hicho kiwe na sura ya kitaifa na sio kikanda, kikabila na kidini

Kwa sasa ni chama kilichoshika katika mikoa ya kanda ya ziwa, na kanda ya mashariki ambako ndio chimbuko na ngome yake kuu.

Lakini chama hiki mpaka leo kinatumia pesa nyingi sana kuelekeza sehemu hizo badala ya kuelekeza Tanga, Morogoro, Dar hususan temeke na kigamboni na ukonga , Mtwara, Lindi na visiwa vya unguja na Pemba ili kiwe na mtazamo wa kitaifa.

Najua wengi watauliza Chadema Dar ipo, lakini kwa mwenye akili utaona wazi waliposhinda ubunge ni ngome kubwa ya watu wa kaskazini. yaani watu wangi wa kaskazini utawapata mbezi, kimara, ubungo, chuo kikuu, sinza, samaki, mpaka boko. watu hawa ni very rare kuwaona temeke, mbagala n.k

Hiyo inazidi kuashiria kuwa chama hiki ni cha kikanda na kina harufu kali sana ya Udini ambayo kwa siri sana wanaitumia katika kupata majority support.

Mtazamo wangu ,CHADEMA ili kiweze kushika nchi yenu ni lazima kiwe chama cha kitaifa badala ya sasa kuwa Chama cha mikoa fulani au makabila fulani fulani.

Hiyo ni changamoto kwa Chadema.


Kura za wabunge wote wa CUF Zanzibar ndio sawa na idadi ya kura za mbunge mmoja tu wa CHADEMA John Mnyika, kwahiyo tafuta macrapiest wenzako muweze kujifariji na hoja chovu kama hizi. to hell & rest in peace. :rip::rip::rip::rip:
 
Kura za wabunge wote wa CUF Zanzibar ndio sawa na idadi ya kura za mbunge mmoja tu wa CHADEMA John Mnyika, kwahiyo tafuta macrapiest wenzako muweze kujifariji na hoja chovu kama hizi. to hell & rest in peace. :rip::rip::rip::rip:

haswaaa
 
quote_icon.png
Originally Posted by Barubaru
[/B]

Ahali yangu.

Siasa za tanzania na Zanzibar ni sawa kwani zote ni mazalio ya ukoloni. Kumbuka wakati wa Ukoloni wa Mwingwreza alitumia divide and rule katika kutawala East Africa. Kule Kenya na Uganda alitumia Ukabila na hiyo mpaka sasa inawasibu sana. Ukabila unatawala.

Tanganyika kwa ajili ya wing wa Makabila alitumia kigezo cha UDINi kitu ambacho kwa mujibu wa Historia ni lazima kitawasibu. Wakati kule Zanzibar alitumia Uarabu na uafrika (Shirazi na Hizbu) navyo inawasibu mpaka leo.

Hakutakuwa na Siri kwa mjuzi yeyote wa hisroria kusema kuwa Tanganyika kuna UDINI ingawa mnajaribu sana kuuficha lakini Historia itawahukumu.

Kwa msingi huo Tanganyika ni Simba na Yanga lazima mmoja ashinde tu.

maa salaam

Nimefurahia sana maneno hapo juu oka kwa Dr Barubaru kwa kusherehesha kuhusu Udini ndani ya Bongo na chimbuko lake

 
wewe NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK! Una uhakika jimbo la kawe lina wachaga wengi? Ina mana wafanyakazi wa BOT ie Vick Kamata ni mchaga? Wanafunzi wengi wa UDSM ni wachaga? Fanya utafiti kabla ya kuongea. Je kanda ya ziwa ni wachaga? Mbona husemi CCM ni wadini kwan wameshinda maeneo ya Kiislam kv tanga,pwani,mtwara,kigoma na unguja?

Ruka na kataa lakini ukweli unabaki pale pale CHADEMA ni chama cha kikanda sio cha kitaifa. Changamoto jitahidini basi kiwe cha kitaifa na kupata wabunge sehemu zote za nchi.

Hiyo ni changamoto kubwa kwenu mwelezeni Dr Slaa na Mbowe
 
Hafifu kweli ni hafifu,kama cdm ni cha kikanda si ndo ufurahi maana hakitaweza kuiondoa ccm yako?
 
Chadema ni chama cha siasa chenye changamoto nyingi sana hususan kukifanya chama hicho kiwe na sura ya kitaifa na sio kikanda, kikabila na kidini

Kwa sasa ni chama kilichoshika katika mikoa ya kanda ya ziwa, na kanda ya mashariki ambako ndio chimbuko na ngome yake kuu.

Lakini chama hiki mpaka leo kinatumia pesa nyingi sana kuelekeza sehemu hizo badala ya kuelekeza Tanga, Morogoro, Dar hususan temeke na kigamboni na ukonga , Mtwara, Lindi na visiwa vya unguja na Pemba ili kiwe na mtazamo wa kitaifa.

Najua wengi watauliza Chadema Dar ipo, lakini kwa mwenye akili utaona wazi waliposhinda ubunge ni ngome kubwa ya watu wa kaskazini. yaani watu wangi wa kaskazini utawapata mbezi, kimara, ubungo, chuo kikuu, sinza, samaki, mpaka boko. watu hawa ni very rare kuwaona temeke, mbagala n.k

Hiyo inazidi kuashiria kuwa chama hiki ni cha kikanda na kina harufu kali sana ya Udini ambayo kwa siri sana wanaitumia katika kupata majority support.

Mtazamo wangu ,CHADEMA ili kiweze kushika nchi yenu ni lazima kiwe chama cha kitaifa badala ya sasa kuwa Chama cha mikoa fulani au makabila fulani fulani.

Hiyo ni changamoto kwa Chadema.

haya tena kibaraka kazini!mpaka chadema wakutie mimba
 
Hafifu kweli ni hafifu,kama cdm ni cha kikanda si ndo ufurahi maana hakitaweza kuiondoa ccm yako?

Ndio maana nikawapa Chadema Changamoto kuwa wakitaka kushinda na kuongoza nchi NI LAZIMA CHAMA HICHO KIWE CHA KITAIFA NA SIO KIKANDA. kWANI KIKIWA CHA KIKANDA HATA KWA MIAKA MIA TANO IJAYO HAWATAONGOZA NCHI HII.
 
Chadema ni chama cha siasa chenye changamoto nyingi sana hususan kukifanya chama hicho kiwe na sura ya kitaifa na sio kikanda, kikabila na kidini

Kwa sasa ni chama kilichoshika katika mikoa ya kanda ya ziwa, na kanda ya mashariki ambako ndio chimbuko na ngome yake kuu.

Lakini chama hiki mpaka leo kinatumia pesa nyingi sana kuelekeza sehemu hizo badala ya kuelekeza Tanga, Morogoro, Dar hususan temeke na kigamboni na ukonga , Mtwara, Lindi na visiwa vya unguja na Pemba ili kiwe na mtazamo wa kitaifa.

Najua wengi watauliza Chadema Dar ipo, lakini kwa mwenye akili utaona wazi waliposhinda ubunge ni ngome kubwa ya watu wa kaskazini. yaani watu wangi wa kaskazini utawapata mbezi, kimara, ubungo, chuo kikuu, sinza, samaki, mpaka boko. watu hawa ni very rare kuwaona temeke, mbagala n.k

Hiyo inazidi kuashiria kuwa chama hiki ni cha kikanda na kina harufu kali sana ya Udini ambayo kwa siri sana wanaitumia katika kupata majority support.

Mtazamo wangu ,CHADEMA ili kiweze kushika nchi yenu ni lazima kiwe chama cha kitaifa badala ya sasa kuwa Chama cha mikoa fulani au makabila fulani fulani.

Hiyo ni changamoto kwa Chadema.
Mbona hujiulizi kwa nini ccm inashinda kirahisi sehemu zenye masikini wengi sana na ujinga uliokithiri? Mfano temeke,mbagala, Same, Mwanga, dodoma, kondoa, singida, mikoa ya mashariki, kusini? Afadhali masikini wa kigoma wamestuka! Tafakari
 
Chama cha siasa kinapoandikishwa kwa msajili huwa kunasehemu ya kujaza UDINI wake?
 
Chadema ni chama cha siasa chenye changamoto nyingi sana hususan kukifanya chama hicho kiwe na sura ya kitaifa na sio kikanda, kikabila na kidini

Kwa sasa ni chama kilichoshika katika mikoa ya kanda ya ziwa, na kanda ya mashariki ambako ndio chimbuko na ngome yake kuu.

Lakini chama hiki mpaka leo kinatumia pesa nyingi sana kuelekeza sehemu hizo badala ya kuelekeza Tanga, Morogoro, Dar hususan temeke na kigamboni na ukonga , Mtwara, Lindi na visiwa vya unguja na Pemba ili kiwe na mtazamo wa kitaifa.

Najua wengi watauliza Chadema Dar ipo, lakini kwa mwenye akili utaona wazi waliposhinda ubunge ni ngome kubwa ya watu wa kaskazini. yaani watu wangi wa kaskazini utawapata mbezi, kimara, ubungo, chuo kikuu, sinza, samaki, mpaka boko. watu hawa ni very rare kuwaona temeke, mbagala n.k

Hiyo inazidi kuashiria kuwa chama hiki ni cha kikanda na kina harufu kali sana ya Udini ambayo kwa siri sana wanaitumia katika kupata majority support.

Mtazamo wangu ,CHADEMA ili kiweze kushika nchi yenu ni lazima kiwe chama cha kitaifa badala ya sasa kuwa Chama cha mikoa fulani au makabila fulani fulani.

Hiyo ni changamoto kwa Chadema.
Signify, Chama kinapoandikishwa huwa kinajaza blanks zilizowekwa na msajiri, kwamba kabila la Chama, Dini ya chama hicho na Kanda ya Chama hicho?.. Sielewi maana ya UDINI, UKABILA na UKANDA , can u signify or elaborate
 
Ruka na kataa lakini ukweli unabaki pale pale CHADEMA ni chama cha kikanda sio cha kitaifa. Changamoto jitahidini basi kiwe cha kitaifa na kupata wabunge sehemu zote za nchi.

Hiyo ni changamoto kubwa kwenu mwelezeni Dr Slaa na Mbowe

Kwa hiyo unatushauri tuendelee na maandamano pamoja na mikutano ya hadhara nchi nzima kama ilivyo ratiba si ndiyo....!Basi mwambie mkwere atulie tumnyoe..teh teh teh!
 
Nakubaliana na wewe kwa hoja kwamba CDM bado wana changamoto nyingi zinazowakabili ili kujijenga kwa wananchi.
Sikubaliani na wewe kwamba hichi ni chama cha kidini, kikanda nk. Kukubalika eneo moja na kutokubalika eneo jingine ni kitu cha kawaida kwenye siasa. Mbona hata huko USA tunasikia kuna States ambazo ni ngome ya Repubs na nyingime ni ngome ya Dems? Tena kuna maeneo ya Dems ambapo Repubs huwa hawajisumbui hata kuweka hata wagombea! Pia kuna 'swing' states- maeneo ambako vyama vyote vinakubalika. Juzi juzi kulikuwa na uchaguzi wa Meya wa Chicago. Repubs hawakuwa hata na mgombea hata mmoja, wote walikuwa Dems? Why? Repubs wanajua Chicago ni ngome ya Dems. Mbona vyama hivi havilaumiwi kuwa ni vya kikanda?
Ikumbukwe pia kwamba kwa chama chochote kuconsolidate support nchi nzima na mkawa na majority siyo kazi rahisi. CCM wapo kote kwa sababu wamerithi toka mfumo wa chama kimoja. Lakini ngome zao zinaendelea kuporomoka kadri watu wanavyoendelea kupata uelewa.
 
Nakubaliana na wewe kwa hoja kwamba CDM bado wana changamoto nyingi zinazowakabili ili kujijenga kwa wananchi.
Sikubaliani na wewe kwamba hichi ni chama cha kidini, kikanda nk. Kukubalika eneo moja na kutokubalika eneo jingine ni kitu cha kawaida kwenye siasa. Mbona hata huko USA tunasikia kuna States ambazo ni ngome ya Repubs na nyingime ni ngome ya Dems? Tena kuna maeneo ya Dems ambapo Repubs huwa hawajisumbui hata kuweka hata wagombea! Pia kuna 'swing' states- maeneo ambako vyama vyote vinakubalika. Juzi juzi kulikuwa na uchaguzi wa Meya wa Chicago. Repubs hawakuwa hata na mgombea hata mmoja, wote walikuwa Dems? Why? Repubs wanajua Chicago ni ngome ya Dems. Mbona vyama hivi havilaumiwi kuwa ni vya kikanda?
Ikumbukwe pia kwamba kwa chama chochote kuconsolidate support nchi nzima na mkawa na majority siyo kazi rahisi. CCM wapo kote kwa sababu wamerithi toka mfumo wa chama kimoja. Lakini ngome zao zinaendelea kuporomoka kadri watu wanavyoendelea kupata uelewa.

Nakuunga mkono mkuu.
 
Back
Top Bottom