Kamanda Francis
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 834
- 140
hivi kama chadema ni cha ukabila ukanda udini na uchaga, je! watoto wa wasira,ndugu yake hussen bashe,mama yake zitto ambae ni mjumbe kamati kuu cdm, kamanda tundu lisu mabere marandu, pfs adhala safari baregu, sugu wenjwe, msigwa, kaigi,dr silaa,benson kigaila,rwakare. pamoja na maafisa wengine kibao.hawa ndio wanao wasumbua kwa ukabila udini ukanda na uchaga, ili tushauri kamati kuu cdm iwaondoa mara moja.toeni mawazo yeni.