Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
Wazee waliokaa maporini wanaweza nisaidia hili jamani, Ubao gani unaurahisi kuchanwa?maana navyojua minginga si mchezo mazee, Mpodo huo sio mgumu sana...jamani tuchaneni mbao oooooooooooooooohhhhhhhhhhh, wewe umechana Ubao Gani mkuu?