LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Mmm,kazi kweli Jf.Yaani watu hata ukakasi na aibu hawana hata kidogo.Hivi usingeweza kumuona daktari wa mambo hayo kama una tatizo privately.
Mkubwa! JF ni mambo yote! Anika mambo yako huduma yote utapata!