We piga kitu natural bwana, shida kila kitu mnataka kuchakachua!!! kama nguvu zako ni kupiga bao moja piga hilo hilo. Mnajifanya vijogoo ndo mana mnafia vifuani.
Ndugu kumbuka ubora wa shughuli kitandani sio wingi wa mabao bali ni namna gani waweza kumfanya mwenzi wako nae aka enjoy hilo tendo.
Kama unaweza kupata mkia wa kondoo uchanganye na asali. Utakuwa fiti kabisa. Usiogope ukianza kuendesha maana ni tiba ya kutoa uchafu.
au
cinnamon na asali
Wajameni, nawasalimu kwa jina la JF!
Nimeulizwa haya maswali nikakwama kwa kwleli, jamaa anasema hivi, ukiacha mazoezi (tusizungumzie madawa hapa) je;
- Ni vyakula gani vinasaidia mtu kufanya mapenzi kwa muda mrefu bila kukojoa na vyakula gani vinaongeza stamina wakati wa kufanya tendo la ndoa (WANAUME)
- Ni vyakula gani vinaongeza nyege na hamu ya kufanya mapenzi kwa WANAWAKE?
Nawasilisha, kwa wenye info basi waweke hadharani kwa faida ya wote.
Weekend njema
Mmm,kazi kweli Jf.Yaani watu hata ukakasi na aibu hawana hata kidogo.Hivi usingeweza kumuona daktari wa mambo hayo kama una tatizo privately.
This is nice MhafidhinaNdugu,
Hii nimeijaribu na naona inafanya kazi. Tumia sana asali. Asali ni dawa nzuri sana kwa inaongeza hamu ya kufanya mapenzi sana Changanya asali na mdalasini. Pia ni vyama ukawa uankula vyakula vya protini kama samaki, maziwa, mayai kwa wingi kwani sperms unazotoa hutengenezwa na protein.
So pamoja na kuongeza hamu ya kufany amapenzi ni vyema ukala vyakula vya kukupa nguvu na stamina pia. Lakini kilicho muhimu mazoezina kunya maji ya kutosha...!
Ukiaftilia yoooote hayo eti kisa sex stamina....una matatizo....!!kula mlo kamili...kula tizi... jiamini kuwa una mbavu za kpagwaisha watoto wa Eva.... Kwishney
Wana JF:
Majuzi niliuliza swali hapa kutaka kujua Ni vyakula gani vinasaidia mtu kufanya mapenzi kwa muda mrefu bila kukojoa na vyakula gani vinaongeza stamina wakati wa kufanya tendo la ndoa kwa upande wa WANAUME na ni vyakula gani vinaongeza nyege na hamu ya kufanya mapenzi kwa WANAWAKE.
Majibu mengi yalitolewa, yeney kuelimisha na kukebehi, lakini nashukuru watu wengi walijitokeza kuchangia. Ni wazi kwa majibu yaliyotolewa suala zima la stamina katika kufanya mapenzi hasa kwa wanaume limeonekana ni muhimu au ni tatizo kwa wengi, vinginevyo watu wasingehangaika kufanya tafiti kujua nini kifanyike.
Kwa upande wa kinadada imeonyesha wazi kwamba si tatizo kubwa kwao, na kwa waliochangia (mmoja ama wawili) imeonekana wazi wadada wengi wanathamini mwanamume ambaye YUPO FITI na mwenye umbo kakamavu la kustahimili purukushani za kitandani! Kwa michango yote iliyotolewa nimefanya majumuisho yafuatayo, amabyo japokuwa wengi walikebehi na kuona ni topic isiyofaa bado nasisitiza kwamba ni muhimu kwetu (wanawake na wanaume) kufahamu kwamba mapenzi ni jambo muhimu na kuna miiko au masuala muhimu ya kuzingatia. Maoni yafuatayo yalitolewa, naamini kuna wengi yatawasaidia:-
[*]Kufanya mazoezi ya mara kwa mara (asubuhi na jioni)
[*]Kupunguza kunywa pombe na kuvuta sigara
[*]Kula sea food (hasa pweza, ngisi na aina mbalimbali za samaki)
[*]Kula nuts/seeds (njugu mawe etc)
[*]Kutumia asali kwa wingi (Asali ni dawa nzuri sana kwa inaongeza hamu ya kufanya mapenzi sana. Unaweza kuchanganya asali na Mdalasini, Mkia wa Kondoo au na Vitunguu swaumu)
[*]Kutumia vyakula vya kuongeza protini mwilini kama vile samaki, maziwa, mayai kwa wingi kwani sperms unazotoa hutengenezwa na protein.
[*]Kunywa maji mengi nay a kutosha kila siku
[*]Kula matunda kwa wingi (blue berries, Kiwi na matunda mengine ya mapenzi, angalau matunda mawili kwa siku, moja asubuhi na moja jioni. ukiweza kula zaidi ya hayo ni sawa. fanya hivyo kwa siku 7 mfululizo)
[*]Kutafuna vtunguu swaumu at least punje kama 20 au 15 mida ya jion siku moja kabla ya kufanya mapenzi na siku ya siku unakunywa maziwa robotatu lita au lita mzima
[*]Kula koma manga kabla ya tendo (kufanya mapenzi)
[*]Juice ya tende iliyochanganywa na mazima (Hii unachambua tende kwa kutoa kokwa halafu una saga kwenye blender kwa kuchanganya na maziwa, unakunywa juice kiasi cha glass 1 au 2 kutokana na kiasi kilicho patikani kwenye kusaga huko. Unaweza kutumia mara 2 au 3 kwa kutwa kwa muda wa wiki moja, mbili, tatu nakuendelea kutokana na uwezo wako)
[*]Supu ya mchicha iliyochanganywa na vitunguu swaumu na tangawizi za kutosha. Mchicha uchemshwe bial kuweka kitu kingine. Unaweza kuweka kitunguu maji tu.
Je ukinywa machozi ya simba(Konyagi)?Dawa ya kitaalamu kabisa ni kufanya mazoezi. Amka asubuhi fanya mazoezi, Pia siku hiyo usinywe pombe wala kuvuta sigara, halafu jioni ukutane na mwenzi wako. Uta enjoy sana! Jenga tabia ya kufanya mazoezi.