Ukichakachua baada ya wimbo mmoja inakataUsiteseke bure........
Download Poweramp unlocker
HAPA
N.B
1-kumbuka kudownload poweramp trial version kutoka play store ndo uinstall hii unlocker yake
2-Haiitaji kuroot simu yako usihangaike
Anza kula midundo mwanaJF
Taifa linaibiwa mabilioni ya shilingi wewe unaona nongwa mtu kuibiwa buku 8Ndio maana watengeneza application wengi awapendi kutengeneza app za Android kwanza. Maana wizi umezidi sana hata awapati kitu.
Alafu hako ni kaapplication Ka 8,000 tu ingekuwa photoshop ya 600,000+ ningekuelewa.
Mimi nilimuuliza hizo app kama lucky patcher, aptoide, busybox, na blackmarket zimetengenezwa na nani kama sio hao hao developer na zilitengenezwa kwa kazi gani.Taifa linaibiwa mabilioni ya shilingi wewe unaona nongwa mtu kuibiwa buku 8
Mkuu ungeifanya hii kama Thread, ili ionekane kwa wengi utapata msaada, mm sijawahi tumia hiyo nova launcher, pia jaribu ku google/ youtube uangalie kama utapata maelekezo.Samahani wakuu nataka kuichakachua nova launcher prime nifanye vipi naomba maelekezo
nova launcher prime...pia kwa msaada yeyote anayetaka app yoyote ya kulipia kutoka playstore aweke email na jina la app yenyewe
Nova launcher prime. petronfrancis@gmail.comnova launcher prime...
jkisoso33@gmail.com
Hii poweramp ni kwa audio pekee?Natangulia kusema hii ni kwa wenye simu ambazo zipo ROOTED
Kama simu yako umeshai ROOT
UPDATE:
KWANZA: Dawnload luck patcher hapa LUCKY PATCHER
PILI: Dawnload busybox hapa BUSYBOX
Haya sasa twende hatua kwa hatua
1. Dawnload poweramp trial kutoka playstore kisha ifungue nenda kwenye setting utaona hivi
2.Fungua Lucky patcher na utaiona poweramp ikiwa na huu ujumbe
3.ukiwa kwenye lucky patcher Iguse kwa sekunde kadhaa hiyo poweramp hadi uone hii menu imetokea chagua custom patch
4. Baada ya kuchagua custompatch vitatokea vipengele vitatu chagua kipengele cha tatu.
5. Yatakuja maelekezo kwa rangi ya njano ambayo tulisha yafanyia kazi hatua ya 1.
Wewe utachagua Apply
6.Subiri hadi lucky patcher imalize kuichakachua hiyo poweramp. Itakapo maliza utaona maandishi ya kijani utachagua Launch
7. Poweramp itafunguka nenda kwenye kipengele cha setting angalia kama imekuwa verified.
.
8.Enjoy poweramp...
Shukrni sana kaka,ila nlkuwa nauliza ni kwa poweramp tu au pia apps nyingne inpiga frsh??Hii poweramp ni kwa audio pekee?
Thanks bro, unaweza ukanielewesha zaidi jinsi ya kuonesha video maana kila niki play inakuja audio tuNi kwa format zote za music na video. Itategemea umechagua iplay music kutoka kwenye folder gani.
Big up kaka.Usiteseke bure........
Download Poweramp unlocker
HAPA
N.B
1-kumbuka kudownload poweramp trial version kutoka play store ndo uinstall hii unlocker yake
2-Haiitaji kuroot simu yako usihangaike
Anza kula midundo mwanaJF
Msada wa upgrade android version kwenda 6 phantom z mini 4.4.2Usiteseke bure........
Download Poweramp unlocker
HAPA
N.B
1-kumbuka kudownload poweramp trial version kutoka play store ndo uinstall hii unlocker yake
2-Haiitaji kuroot simu yako usihangaike
Anza kula midundo mwanaJF
Hii link lazima cmu iwe rooted?