Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Sina uhakika kama jitihada hizi zipo kwenye mstari...................njia mwafaka ni kuyadai hayo yote Chadema wakiwa bungeni na wakishindwa huko ndiyo warudi kwa wapigakura kuwaelezea madhara ya CCM kulihodhi bunge .................lakini nje ya bunge Chadema is playing into CCM's deceitful hands...................CCM will be happy..... if Chadema kicks itself out of the House....................Chadema watajinyima nafasi ya kuikosoa serikali na hivyo hoja ya kutwaa dola mwaka 2015...............What a waste!!!!!!!!!!...........