Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,596
- 779
Mpaka Leo hawana ofisi, na hawajawahi kuandamana kushinikiza mwenyekiti wao awajengee ofisi, Leo wanaandamana kuda waongeze wabunge kwenye kila jimbo, sasa hawa si ni zaidi ya ng'ombe!!Bora hata ng'ombe ana akili . CHADEMA akili zao ni kama nyumbu tu.kwa sasa wamejaa uroho kama mafisi.ndio maana wanapendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo ili matumbo yao yapate shibe vizuri huku wananchi wakibebeshwa mzigo wa gharama za kuwalipa. CHADEMA wanafiki Sana nawasio faa hata kusikilizwa kwa lolote lile.wamekuwa wajasiriasiasa