Bora hata ng'ombe ana akili . CHADEMA akili zao ni kama nyumbu tu.kwa sasa wamejaa uroho kama mafisi.ndio maana wanapendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo ili matumbo yao yapate shibe vizuri huku wananchi wakibebeshwa mzigo wa gharama za kuwalipa. CHADEMA wanafiki Sana nawasio faa hata kusikilizwa kwa lolote lile.wamekuwa wajasiriasiasa
Mpaka Leo hawana ofisi, na hawajawahi kuandamana kushinikiza mwenyekiti wao awajengee ofisi, Leo wanaandamana kuda waongeze wabunge kwenye kila jimbo, sasa hawa si ni zaidi ya ng'ombe!!
 
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono ujinga wa CHADEMA wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo. Yaani sisi watanzania na akili zetu tuandamane kuwaunga mkono CHADEMA na mawazo yao finyu ya kutuongezea mzigo wa gharama ya kuwahudumia wabunge wawili wawili kila jimbo? Kwamba CHADEMA inatuona ni wajinga sisi watanzania? Au mbowe anafikiria kuwa sisi ni wajinga kama anavyowachukulia wafuasi wake kama watu wasio na akili na wanaofanana akili Na nyumbu na wanaoweza kubadilishiwa gia mahali popote pale kama alivyofanya 2015?

Sasa kama mbowe anataka maandamano aandamane yeye na mke wake na watoto wake ndio wawe mbele .na siyo kutanguliza watoto wa watu mbele huku yeye akiwa kwenye Tv akila Minofu ya nyama nakushushia bia. Mbona hajawahi kuongoza maandamano kwa kuwa mbele? Mbona watoto wake hawajawahi kushiriki maandamano? Je Watoto wake siyo Watanzania? Mbowe aache ubabaishaji na kuficha udhaifu wake wa kushindwa kuliongoza chama kutokana na kuwa na mawazo mgando na kufika kikomo cha mwisho kifikra baada ya kukaa muda mrefu madarakani tokea 2004 .
Wewe usiyejitambua ndiyo utashindwa kwenda kuamdamana maana wewe ni KULA KULALA hujui hata jinsi pesa inatafutwa.
 
This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.

P
Acha unafiki wewe
 
Bora hata ng'ombe ana akili . CHADEMA akili zao ni kama nyumbu tu.kwa sasa wamejaa uroho kama mafisi.ndio maana wanapendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo ili matumbo yao yapate shibe vizuri huku wananchi wakibebeshwa mzigo wa gharama za kuwalipa. CHADEMA wanafiki Sana nawasio faa hata kusikilizwa kwa lolote lile.wamekuwa wajasiriasiasa
Ng'ombe ni babako na mamako
 
Nyie watu haya maigizo yenu ndo yanayowafanya wananchi washindwe kuwaamini,hamujui kipi mnataka toka kwa serikali na kwa wananchi,kama sikosei mbowe aliwahi kusema yeye kama mwenyekiti wa chama hataruhusu chama chake kushiriki uchaguzi bila mabadiliko ya katiba au bila katiba mpya.

Sasa hiki mnachokipinga na kuhamasisha wafuasi wenu kuandamana ni kipi!? Nani kawadanganyeni kuwa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi ilikuwa ni kwa manufaa yenu !? Si mlishasema bila katiba mpya hamtashiriki uchaguzi!? Subirini muda wa uchaguzi ili msishiriki.


Tanzania tuna vyama vya siasa zaidi ya 15 ,kutoshiriki kwa chadema hakuna madhara kwa nchi yetu.

Hiyo tarehe chadema wakiandamana niitwe mbwa,niko huku Liwale shule ya msingi Mpigamiti
Ng'ombe Ticha wa primary unaropoka ujinga
 
View attachment 2870448

Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Ntakuwepoooooo
 
View attachment 2870448

Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Nataka nione watakavyoandamana kama wale wanaojiita Sauti ya Tanzania kina Mwambukusi na wapuuzi wengine 😁😁
 
Nyie watu haya maigizo yenu ndo yanayowafanya wananchi washindwe kuwaamini,hamujui kipi mnataka toka kwa serikali na kwa wananchi,kama sikosei mbowe aliwahi kusema yeye kama mwenyekiti wa chama hataruhusu chama chake kushiriki uchaguzi bila mabadiliko ya katiba au bila katiba mpya.

Sasa hiki mnachokipinga na kuhamasisha wafuasi wenu kuandamana ni kipi!? Nani kawadanganyeni kuwa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi ilikuwa ni kwa manufaa yenu !? Si mlishasema bila katiba mpya hamtashiriki uchaguzi!? Subirini muda wa uchaguzi ili msishiriki.


Tanzania tuna vyama vya siasa zaidi ya 15 ,kutoshiriki kwa chadema hakuna madhara kwa nchi yetu.

Hiyo tarehe chadema wakiandamana niitwe mbwa,niko huku Liwale shule ya msingi Mpigamiti
Wananchi wapi wanaoshindwa kuwaamini CDM?

Kuna uchaguzi cdm ilishindwa kupata viti vya kutosha bungeni?

2020 Jiwe ndiye aliyeamua matokeo ya cdm.
 
Hue
This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.

P
Nasikia mkuu upo huko huko HQ muda huu.
Huu ushauri uwafikie
 
Uyu anatupanga tu
F_CM5RmXYAAzxD7.jpeg
 
View attachment 2870448

Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
ARUDISHE KWANZA HELA ZA RUZUKU YA UCHAGUZI NA ZA ASALI AFU KWENYE MAANDAMANO AANZE YEYE NA WANAE NA MKEWE MSTARI WA MBELE
 
Hawajifunzi. Wanatakiwa watambue kwamba by all means watanzania siyo watu wa kuweza kusimana na kupigania haki zao.

Watanzani ni watu kimaombile wameumbwa kuunga mkono watawala na si kuwa kinyume chao.

Katika nafsi ya Mtanzania kumchallenge kiongozi ni aina ya kosa linalo share vinasaba na kosa la Uhaini.
Kwa watanzania, yeyote aliye upande wa watawala akawakusanya maelfu ma malaki ya watanzania tena kwa nguvu ndogo sana akawapeleka barabarani kuuanga mkono Mswada huu bila hoja yoyote.
Ni ngumu hata aje malaika ma mabawa yake kufanikiwa kupata hata watu 120 wa kuandamana kuupinga hata hoja zenye mashiko yalwe na nguvu vipi, hata kama hoja hizo zitasomwa na Mungu mwenyewe. Ili mradi yupo kinyume na watawala, basi watanzania hawatamuunga mkono Mungu, ingawa baadaye wataenda Makanisani ma Misikitini kuwaombea afya, baraka na mafanikio hao watawala wao.
Akili zako za hovyo peleka lumumba huko mkajifunze jinsi ya kuongeza umasikini kwa watanzania.
 
View attachment 2870448

Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Kabla ya sisi kuandamana tunapenda kuona Mbowe , mke wa mh.Mbowe na watoto wake wakiwa msitari wa mbele kuongoza maandamano ,Pia Lisu na mke wake pamoja na watoto wakiwa msitari wa mbele .Sisi sote tutafuata.
 
Back
Top Bottom