Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Jamani kulikuwa na Ratiba ya kufanya maandamano machi 13, 2011 mjini kigoma naambiwa Dk na viongozi wote walifika lakini sijapata update hapa kwenye Forum, Je maandamano yalifanyika au yaliakhirishwa mpaka lakini na kwa nini?
Kwani Tarehe 18.04.2011 zimefika? Acha kukurupuka