CHADEMA yasitisha oparesheni M4C na kuitisha kikao cha Kamati Kuu

Tunahitaji kamati kuu ije na majibu na matamko yenye nguvu kubwa ya kuhakikisha mikutano na maandamano ya chama chetu CDM vinafanyika bila kuingiliwa na vyombo vya dola.N kuanzia sasa hatutakubali taarifa yoyotge ya kiinterijensi kutoka jeshi la poliCCM KUHUSU MIKUTANO YA CHADEMA PEKE YAKE.TUPOTAYARI KWA LOLOTE ACHA TUFE WATAKAOBAKI WATAENDELEA KUTETEA HAKI ZA WATANZANIA
 
Kijani siku zinahesabika na mamburura wanaowanengulia viuno nyie mkizidi kuneemeka wamepungua kwa kugundua ufinyu wao wa akili mmebaki na hawa na saluti zao(ardhi ni yangu lkn akili sina) na kweli akili hawana,wanalala vibanda unguza,wanashinda juani wamefinyangwa akili wamekuwa ni watu wa kupokea maagizo tu yawe ya mwenyekiti wa mtaa,veo,weo ili mradi umetoka kijani wao wanaupokea na kutekeleza ndio wamekuwa chambo cha watawala.Mtawala wa misukule huwatumikisha misukule kwa kujua mbeleni itakuwaje hivyo huona ni heri aitumikishe ili baadae waumbuke wote japo yeye ndiye aliyeisukura akili ili watende kazi kwa ajili yake na hapo misukule huwa haina thamani kwa watu.M4C FOREVER CHADEMA
 
together as one,shooting stars made for those who believe that they were chosen soon to receive gift of hope.
 
Hamna lolote la maana kwenye mkutano huo ni ulaji tu wa posho

posho yao inatokana na jasho la mlalahoi inayokusanywa through m4c,na kama itakuwa hivyo da way ufikirivyo ww basi na wenywe ii dhambi itawagharimu kama inavyowagharimu chama cha mabwepande sasa kwa kujimilikisha rasilimali za nchi kwa manufaa ya familia zao
 
Waje na kitu ambacho kitawaonesha kuwa hatimaye wanaelewa uzito wa kile kinachowakabili. Maana tangu 2010 bado wanaonekana walikuwa wanaamini kuwa wanaweza kuishawishi serikali ya CCM to be nice to them...
Tumeshapata solution ya kuidhibiti CDM kumbe tukitaka kuizuia kabisa M4C isiendelee ni kuua wananchi wanao shiriki hiyo mikutano, BHAAAASI!!!!!!!
 
Tupo pamoja makamanda wetu,sisi askari wa miguu tupo nyuma yenu tukisikiliza maamuzi yenye busara ili tuweze kushinda vita hii dhidi ya haya manyang'au magamba.
 
maamuzi ya busara sana kwani hata dereva anapaki gari pembeni akiona hali si shwari ktk nyanja mbalimbali na kutatua tatizo
 
Acha unafiki, hujawahi kushiriki maandamano hata mara moja. Wewe bingwa wa kuchochea tu. Upo Kigoma, wakija huko tutakupima, kwa sasa endelea kuvua samaki.

Maandamano yapo ya aina nyingi, hata haya niliyopendekeza pia ni maandamano. Maandamano sio kutembea tu!
 
Hatutaki slogan wala propaganda tena tunataka maandamano nchi nzima kwa Siku 14 bila kikomo kupinga ofisi ya Msajili wa vyama, mauaji ya polisi, mafisadi kutopelekwa mahakamani na ubakaji wa democrasia unaofanywa na ccm. No more time to waste





Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesitisha operesheni yake ya M4C mkoani Iringa na kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu.

Kikao hicho cha Kamati kuu kitafanyika siku ya Jumapili jijini Dar es Salaam chini ya viongozi wake wakuu Mkiti Freeman Mbowe na Katibu mkuu Dr Wilbroad Slaa.

Mkuu wa operesheni M4C Benson Kigaila amesema haiwezekani kuendelea na operesheni huku polisi wakiua watu kwenye mikutano ya CDM kwa maelekezo maalum. Amesema Kamati kuu itatoa mwelekeo rasmi wa chama kuhusu hali hii ambayo haiwezi kuvumiliwa.

Pia inatarajiwa kamati kuu kujadili vitisho vya msajili wa vyama John Tendwa dhidi ya chama hicho,msajili ambaye watanzania wengi wanaamini ni kada mwaminifu wa chama tawala.


Source: Tanzania Daima/Majira.
 
Natarajia kamati kuu itatoka na msimamo mkali sana juu ya udhalimu unaofanywa na serikali ya magamba pamoja na kibaraka wao mbana pua John Tendwa.

Ni lazima operation sangara iendelee hata kama magamba na serikali yake hawataki. Muda wa kubembelezana umekwisha.
 
Uchaguzi haupiti ,upo na unakuja ,jiandae kuwaondoa wahuni,wanyang'anyi,wezi,majangili wahujumu uchumi wafanyabiashara wa ikulu mdarakani. Wanaojenga au wanaohitajika kujenga nchi ni waliok serikalini sio vyama vya upinzani.

Kujenga shule wananchi wachangie ,kujenga vituo vya afya wananchi wachangie ,kujenga balabala wananchi wachangie ,kujenga soko wananchi wachangie ,kujenga vituo vya polisi wananchi wachangie ,hivi serikali iliyopo madarakani kazi yake ni kitu gani ?

Aloo huu si wakati wa kuturudisha katika siasa za kichina ,serikali mbali ya kodi inakusanya mapato kutoka nyanja mbalimbali ,yakiwemo kutoka kwenye madini ,misitu ,utalii ,vitalu vya kuwinda mbali ya pato la gesi ,hela yote inakwenda wapi ,huu msemo wa kusema wananchi wajitolee ni kuwafanya WaTz wote wapumbavu na wenye akili taahira ,isipokuwa wachche nyie mliozidiwa na akili.

Zanzibar ikiwa watafanikiwa kujipapatua na kuweza kufukua mafuta na kuchimba gesi basi uhakika wa kila raia kulipwa upo ,tena sio chini ya dola sitini kwa mwezi ,kwa maana ule msemo wa wananchi wanatakiwa wjitolee hautakiwi ,kwani Nchi haiendi vitani.

Hata mimi nashangaa pesa zinakwenda wapi budget tegemezi ,miradi yote mikubwa either mkopo au utaona kwenye mradi umeandikwa kwa hisani ya watu wa jpn nk .....au ndio wananunulia bunduki za kuua raia?

kweli ccm wameshindwa kutupatia maisha bora ,,,,
 
Jamani kamanda mbowe karudi???? tum-miss kamanda wetu, nadhani hata muarobaini ya sitta itapatikana, haikubaliki mwenyekiti wetu amuite disco joker.
 
Back
Top Bottom