mbona walisema Dodoma hakuna chadema...ivi kumbe wachaga asili yao in Dodoma eee...safi sana piga kazi chama langu mwaka huu lazima kieleweke..
Watangaza nia wa ccm wao wanaona fisi tuuHiki chama ni janga kabisa hakioni kuwa kuna msiba hata bunge limesimamimishwa kama heshima ya marehemu wao wanaendelea kuomba huruma kwa wanchi tena pale pale dodoma. Shame shame
We unadhani maisha bora ni kunywa maziwa kila siku na kula pilau na kuku plus viepe? Hahahaha una akilimza kitoto kweli wewe kijana, maendeleo huyaoni kwani ktk nchi hii?Na Maisha Bora kwa kila Mtanzania yapo wapi kwenye kale kawimbo chenu?
Ndio Maana Mzee Marandu akasema atatangaza mapemaIngekuwa CCM wanategemea sanduku la kura basi miaka tungeshawasahau kwenye siasa za Tz,lakini huko kujaza watu kama dangaya toto, CCM ushindi wao hautegemei sanduku la kura, kama mnajidanganya mtakuja iadhibu ccm kwenye sanduku ni ndoto,
hivi kati ya ccm na Chadomo nani wanafanya maigizo? Nyie mmetafuta urais kwa muda gani mpaka hvi leo? Je mmewahi kuupata huo urais? Sasa hauoni hapo nyie mnaigizo, sawa sawa na kutwanga maji kwenye kinu!
Watu kuja kwenye mikutano yenu ya njaa sio ndo kupewa kura na hao wananchi, wengi ni kama watazamaji kwenye mpira wa miguu, wako wanaofatilia kwa makini lkn wengine wako kuangalia tu ilimradi ndo akina nyie hapo mnashabikia tu lkn hamjui kitu.Ndio Maana Mzee Marandu akasema atatangaza mapema
Kwa ccm maisha bora nikutembea na fisi na ufisadiWe unadhani maisha bora ni kunywa maziwa kila siku na kula pilau na kuku plus viepe? Hahahaha una akilimza kitoto kweli wewe kijana, maendeleo huyaoni kwani ktk nchi hii?
Wewe kipaji chako ni kuendesha baiskeli, sasa siasa na wewe wapi na wapi!? Umbeya tuu kama dadaMaigizo mnayofanya kwanye hatafanikiwa na vingine si maigizo bal ni ukwl kwa ccm kuwa mafisad na kuifilisi Nchii huku Watz wakiwa maskin,
Mwisho wenu ni Oct Watz wameamka sasa ni ww tu unakubali kuhongwa na kununuliwa ila ipo cku itakutokea puani usipende kununuliwa.
Upeo wa akili zako ndo umekomea ktaja mafisi kama ulivyo wewe na ukoo wako huo nyote mnaonekana ni mafisi maan hilo neno halikutoki mdomoni hapo!Kwa ccm maisha bora nikutembea na fisi na ufisadi
Watu kuja kwenye mikutano yenu ya njaa sio ndo kupewa kura na hao wananchi, wengi ni kama watazamaji kwenye mpira wa miguu, wako wanaofatilia kwa makini lkn wengine wako kuangalia tu ilimradi ndo akina nyie hapo mnashabikia tu lkn hamjui kitu.
Mungu hapendi wezi wanaokula ruzuku za chama kama wanavyofanya akina Mbowe na Kaka yake Slaa
Dodoma cthani
Hiki chama ni janga kabisa hakioni kuwa kuna msiba hata bunge limesimamimishwa kama heshima ya marehemu wao wanaendelea kuomba huruma kwa wanchi tena pale pale dodoma. Shame shame
Sasa wew jamaa HOVYO..ndo unaona hawa ni watu ,kwenye manispaa kama Dodoma ,kwanza mpiga picha kapiga kijanja janja ili ionekana halaiki ya watu