Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,802
- 71,229
Kumekuwepo na mwendelezo mzuri maana waandamanaji wameelewa kuwa kumbe ni ya Amani na ujumbe wa Masahibu yao unafika kunako mfupa.
Sasa yale yajayo yawe Dodoma na washiriki wawe;
Nahisi maandamano hayo ya AMANI kwenda Chamwino yatakuwa ya ombi la AMANI kuwaambia watupishe IMETOSHA.
Nimeandika ujumbe huu kwa niliyo ona Arusha.
Sasa yale yajayo yawe Dodoma na washiriki wawe;
- Viongozi wa vyama wakiongozwa na Chadema.
- Wananchi wa Kawaida.
- Vijana wahitimu wa elimu ngazi mbalimbali.
- Wastaafu wa zamani wasio jaliwa na hii serikali.
- Askari wetu wa JWTZ, POLICE, MAGEREZA, JKT nk ambao wanajua kwa sheria hizi zilizopo wanastaafu na kuwa masikini na hakuna wa kuwajali.
Nahisi maandamano hayo ya AMANI kwenda Chamwino yatakuwa ya ombi la AMANI kuwaambia watupishe IMETOSHA.
Nimeandika ujumbe huu kwa niliyo ona Arusha.