muonamambo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 875
- 545
Hili la mbeya ni ushindi mkubwa kwa peoples power. Kwamba jeshi, vifalu , polisi na mabomu yao hawawezi kuishinda nguvu ya umma. Mwisho wa siku wamerudi wenyewe mezani na kimdondokea sugu mbunge waliyekuwa wansmdharau ili atulize hasira za wananchi. Kwa hili ccm wameonyesha hawawezi kuongoza nchi hiina nawashauri waachie chadema chama chaguo la mungu washike nchi hii.