Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Mpelekeni na Arusha akalete amani.
amani ya Arusha hailetwi kwa mabomu. Amani ya Arusha italetwa na Lema kama mtaacha kumnyanyasa. Mwambie huyo mpumbavu wenu aliyetumwa kuingilia kazi za mahakama aache hiyo tabia mara moja, vinginevyo mkoa huu utamshinda.