Imethibitika kwa mara nyingine tena ndani ya jiji la Mbeya kuwa kumbe Magamba na polisi ndo chanzo cha vurugu nchini. Baada ya risasi na mabomu kushindwa, Magamba wakagundua njia pekee ni kutumia mamlaka halali(CDM) kutuliza vurugu, wakamwita Sugu, wakampigia magoti, wakamlilia chondechonde!!, sura zetu hazitakiwi huko nje, ni wewe tu na yule Dr wenu wa ukweli ambao mkionekana wanambeya watatabasamu, watacheka na kushusha hasira zao na kurejesha amani.
Na kweli kamanda Sugu alipowasili, hasira za wanambeya zikapotea, vigeregere na shangwe vikarindima, kumbe wanambeya wanamjua kiongozi wao ni nani na MTAWALA wao ni nani. Kiongozi hutumia hoja zenye ushawishi na mtawala hutumia risasi na mabomu dhidi ya anaowatwala.
Na kweli kamanda Sugu alipowasili, hasira za wanambeya zikapotea, vigeregere na shangwe vikarindima, kumbe wanambeya wanamjua kiongozi wao ni nani na MTAWALA wao ni nani. Kiongozi hutumia hoja zenye ushawishi na mtawala hutumia risasi na mabomu dhidi ya anaowatwala.