ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
CDM kimeshinda uchaguzi wa Mwenyekiti wa Kijiji cha Burifani, Kata ya Kyaka, wilaya ya Misenyi, ambacho ni makazi ya Mbunge wa Nkenge, Asumpter Mshana. Mgombea wa CDM, Deogratias Laurian, alipata kura 401 dhidi ya kura 129 za Mathias Kibarwiga wa CCM. Placid Vedasto wa TLP alipata kura 2.
Habari zaidi soma Mwananchi la leo uk.9. HONGERA CHADEMA
idd amin, hii ilikuwepo jana