The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
"CHADEMA Yaisambaratisha CCM Kyela; ngome ya Mwakyembe yatikiswa"
Hiki kichwa cha habari chasema mengi kuliko face value yake.
Hiki kichwa cha habari chasema mengi kuliko face value yake.
Mkuu,
Vipi zile habari zako fake za vikao vya NEC unaona hazitoshi na unaanza kuingilia na Kyela?
Sisi hatuhitaji kupiga simu kujua yanayotokea Kyela, tunayaona yakitendeka. Utashangaa sana mwaka huu na hao wapiganaji wako.
Mpigia simu huyo rafiki yako Mwakyembe na mwulize mbona anashindwa hata kusalimiana na majirani zake?
Vinginevyo ya Kyela niachie mimi engineer wa Majungu according to Masanilo (aka Ze Comedy_ niendelee kuwaletea za jikoni.
.kuna wanakyela feki humu ambao wanajifanya mslahi yao ni kyela tu, hiyo ni dhambi mbaya! kwamba wanachokiona kwa Dr, ni kusahau jimbo na kuwa Mtaifa na kwao hili ni baya! HAWATUFAI
hivi unafikiri barabara itajengwa kwa kirahisi ndani ya miaka 4 wakati tuko kwenye mapambano................
Mheshimiwa Shukuru apange bajeti, Mhe. Mwakipesile atoe mazingira mazuri ya ketekelezeka....bado.
tuje kwenye source;tazama. lile la charles charles!!!!!!!!!!!
kama ndio washabiki wa kyela wanatumia source ambayo kila mtu anajua imecling na akina nani, na hao akina nani wanamsaada gani kwa taifa....basi hata akikosa ubunge next He will be right at, cause its seemz most of people are ignorance by choice, not by design as most pple be.
all in all, Dr ni kichwa, na amebadilisha mfumo wa kisiasa, majadiliano mpaka ushabiki.
within 4 years as MP, things have changed totaly. Na kwa wale wanaodhani watatudiscourage kwa kupitia humu ndani, ni ngumu, jamaa influence yake bado ni great per now, i don knw next!
bravo Dr
Kama chama cha Mwakyembe hakikubaliki nyumbani kwake na kumbuka yeye aliwapanga wapambe wake ili mambo yamwendee murua mwakani, hizo sio salamu tosha akae chonjo 2010?
.
Mkuu, umefulia na points zako
.Always ukiamini kazi ya Fisadi nawe ni Fisadi. Tokea lini Mtanzania likamwandika vizuri Mwakyembe? Hapo Umenowa Kommesha ya mafisadi acha kununua bidhaa au service zao
.
Na magezeti ya yule fisadi nyangumi,aliyetajirika kwa kipindi cha miaka minane tu na kuifilisi NBC yetu,mbona yanampamba kila siku mwakyembe?
Ngome ya Siasa ya Mbunge wa Kyela (CCM) Dkt Harrison Mwakyembe imesambaratishwa vibaya na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya wapambe wake karibu wote kuangushwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji!
Kuangushwa kwa wapambe wake ni dalili za wazi mbaya kwa Dkt Mwakyembe anayeonekana hodari wa kutumia vyombo vya habari kujiaminisha kuwa anapendwa.
Habari zilizopatikana kutoka Kyela zinaeleza kuwa mpambe wa Dkt Mwakyembe aliyekuwa amejitosa kuwania kitongoji cha Ikolo anakoishi mbunge huyo, ameangushwa na kitongoji hicho kwa sasa kipo chini ya CHADEMA.
Dkt Mwakyembe aliyekuwa amepanga wapambe wake waweze kutwaa vitongoji kadhaa ili aweze kujiwekea mazingira mazuri ya kushinda kwenye kinyang'anyiro mwakani lakini juhudi zimefikia tamati baada ya CHADEMA kuwazidi ujanja na kuibuka washindi kwenye vitongoji vya Kyela Mjini, Mikumi, Bondeni, Mpakani, Ndandalo, Mwaya, Ngyekye, Bwato B na Ipinda!
(Source: Tazama, tr 3-9/11/2009, uk. 1-2).
Ngome ya Siasa ya Mbunge wa Kyela (CCM) Dkt Harrison Mwakyembe imesambaratishwa vibaya na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya wapambe wake karibu wote kuangushwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji!
Kuangushwa kwa wapambe wake ni dalili za wazi mbaya kwa Dkt Mwakyembe anayeonekana hodari wa kutumia vyombo vya habari kujiaminisha kuwa anapendwa.
Habari zilizopatikana kutoka Kyela zinaeleza kuwa mpambe wa Dkt Mwakyembe aliyekuwa amejitosa kuwania kitongoji cha Ikolo anakoishi mbunge huyo, ameangushwa na kitongoji hicho kwa sasa kipo chini ya CHADEMA.
Dkt Mwakyembe aliyekuwa amepanga wapambe wake waweze kutwaa vitongoji kadhaa ili aweze kujiwekea mazingira mazuri ya kushinda kwenye kinyang'anyiro mwakani lakini juhudi zimefikia tamati baada ya CHADEMA kuwazidi ujanja na kuibuka washindi kwenye vitongoji vya Kyela Mjini, Mikumi, Bondeni, Mpakani, Ndandalo, Mwaya, Ngyekye, Bwato B na Ipinda!
(Source: Tazama, tr 3-9/11/2009, uk. 1-2).
Buchanan,
Hii habari mbona niliileta siku ile ile ya uchaguzi?
Kilichofanyika ni kwamba mheshimiwa aliweka wapambe wake ili wachukue baadhi ya vitongoji na akafanya kampeni ya wiki nzima.
Kambi ya Mwakalinga (sina uhakika kama Mwakalinga aliidhinisha strategy hii) ilipoona hilo ikaweka mkakati wa kuwatungua hao wapambe wote wa Mwakyembe. Baadhi ya wanachama wa CCM wakaamua kugombea kupitia CHADEMA na hilo kundi likawaunga mkono.
Wao wanasema lengo lilikuwa kumpa kipigo mbunge na pia kuwatisha madiwani wachache ambao bado wanamuunga mkono Mwakyembe kwamba wajiandae kupoteza nafasi zao kama wataendelea kumshabikia huyo msanii.
Kweli strategy imefanya kazi sana maana hata kitongoji anakotoka Mwakyembe (Ikolo) nacho kikatekwa.
Pigo kubwa lilikuwa mjini ambako Kilumbu, ambaye ndiye mfuasi mkubwa wa Mwakyembe aliangushwa na mzee mmoja mganga wa kienyeji.
Ukiwa karibu na mwakyembe hapa Kyela kwasasa jua kitumbua chako kisiasa kiko hataraini.
Mimi naona alifanya makosa makubwa sana kuweka wapambe wake maana hii imeonyesha watu wengi kwamba Dr ni weak na hata waliokuwa wanamuunga mkono, taratibu wanaanza kutafuta namba za Mwakalialinga ili wamsalimie.
Hizo ndio siasa za Kyela. Ila Mwakalinga aangalia maana hao CHADEMA wasije wakapata nguvu na kuamua kuitumia dhidi yake. Pia mwenyekiti wa CCM wa wilaya ambaye ndio pekee katika uongozi wa chama bado yuko na Mwakyembe, ameshaanza kusema Mwakalinga anawasaidia CHADEMA. Lakini wapambe wa Mwakalinga wanatamba kwamba hawaogopi hilo maana kwenye vikao vya CCM wakiamua nani ni hatari kwa CCM, kati ya hawa watu wawili, itaonekana ni bora kuwa na Mwakalinga kuliko Mwakyembe.
Jambo lingine la kushangaza ni kwamba CHADEMA Kyela walikuwa karibu sana na Mwakyembe na ghafla wamebadilika sana na wanaongoza kumuita msanii.
CCM bado wameshinda Kyela kwa asilimia zaidi ya 95.[/QUOTE
Mzee Mwakalinga kaifanyia nini kyela? wenzio wakili kushindwa kwa mwakalinga na wameanza kumuandaa mama mmoja kutoka ukoo wa mkuu wa majeshi tanzania. Ninaimani naye pia bado ataangushwa chali. MWAKALINGA ameishachuja hana lolote alilofanya kwa kyela. Kwani alikuwa wapi? HIvi amewahi hata kuwa balozi wa nyumba kumi? Mwakalinga hana chake Kyela. Bado mwakyembe ni kigogo wa siasa Tanzania.
Hapa ni uzushi mtupu kwani kyela kuna vitongoji vingapi? na CCM imesambaratishwa kivipi? Unamaanisha chadema wameikamata Kyela?.Tupe jumla ya vitongoji vilivyochukuliwa na CCM na vile vilivyochukuliwa na chadema. KUshindwa kwa mpambe wa Mwakyembe katika kitongoji ndio kushindwa kwa Mwakyembe?. Hapa ni kujifariji tu. Umejaa uzushi mtupu.Ngome ya Siasa ya Mbunge wa Kyela (CCM) Dkt Harrison Mwakyembe imesambaratishwa vibaya na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) baada ya wapambe wake karibu wote kuangushwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji!
Kuangushwa kwa wapambe wake ni dalili za wazi mbaya kwa Dkt Mwakyembe anayeonekana hodari wa kutumia vyombo vya habari kujiaminisha kuwa anapendwa.
Habari zilizopatikana kutoka Kyela zinaeleza kuwa mpambe wa Dkt Mwakyembe aliyekuwa amejitosa kuwania kitongoji cha Ikolo anakoishi mbunge huyo, ameangushwa na kitongoji hicho kwa sasa kipo chini ya CHADEMA.
Dkt Mwakyembe aliyekuwa amepanga wapambe wake waweze kutwaa vitongoji kadhaa ili aweze kujiwekea mazingira mazuri ya kushinda kwenye kinyang'anyiro mwakani lakini juhudi zimefikia tamati baada ya CHADEMA kuwazidi ujanja na kuibuka washindi kwenye vitongoji vya Kyela Mjini, Mikumi, Bondeni, Mpakani, Ndandalo, Mwaya, Ngyekye, Bwato B na Ipinda!
(Source: Tazama, tr 3-9/11/2009, uk. 1-2).
Mzee Mwakalinga kaifanyia nini kyela? wenzio wakili kushindwa kwa mwakalinga na wameanza kumuandaa mama mmoja kutoka ukoo wa mkuu wa majeshi tanzania. Ninaimani naye pia bado ataangushwa chali. MWAKALINGA ameishachuja hana lolote alilofanya kwa kyela. Kwani alikuwa wapi? HIvi amewahi hata kuwa balozi wa nyumba kumi? Mwakalinga hana chake Kyela. Bado mwakyembe ni kigogo wa siasa Tanzania.