Entrepreneur
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 1,087
- 620
Hizi takwimu zina walakin kidogo. Kata ya Ipole - Sikonge imechukuliwa na CDM lakin hizo figure za jnuswe zinaonyesha kuwa CCM ilipata kura nyingi (CCM kura 577, CDM kura 373)! WHY??
Hata ya daraja mbili yana walakin kwan Jumla ya matokeo CHADEMA
2156,CCM 1286. Wanabodi ushabiki usiwafanye kuwa blind