Matokeo ya uchaguzi wa madiwani (sampuli ya kata 10)
Jumla ya kura 21,662
CCM 9,201 42.5%
CDM 10,971 50.6%
Others 1,490 6.9%
Takwimu hizi zinatufunza nini?
1. Pamoja na kwamba CCM imeshinda kata nyingi (5 out of 10), wananchi walioipigia CDM ni wengi zaidi (over 50%). Kwa mwendo huu CCM kushika dola 2015 ijiulize mara mbili.
2. Daftari la wapiga kura lingekuwa linaboreshwa kila mwaka matokeo yangekuwa bora zaidi kwa CDM. Hata hivyo kwa kuwa daftari hilo lazima liboreshwe kabla ya chaguzi za 2014/2015 CCM ijue itakuwa na kazi pevu kupita.
Ushauri kwa CDM:
Mikakati na operesheni za sangara na M4C ziendelezwe kwa nguvu nchi nzima
No. | Kata | CCM | CDM | Others |
1 | Daraja mbili | 1,214 | 2,047 | |
2 | Ipole-Sikonge | 373 | 577 | 48 CUF |
3 | Kaloleli-Sikonge | 690 | 329 | 222 CUF |
4 | Nanjara Reha | 1,134 | 2,370 | |
5 | Kilema kusini | 707 | 727 | 946 TLP |
6 | Tamota-Lushoto | 901 | 312 | 10 CUF |
7 | Bugarama-Kahama | 1,145 | 772 | 156 TADEA |
8 | Mletele-Songea | 955 | 297 | 27 CUF |
9 | Mtibwa | 1,372 | 3,096 | 67 CUF |
10 | Mahenge | 710 | 444 | 14 CUF |
| Jumla ya kura | 9,201 | 10,971 | 1,490 |
Jumla ya kura 21,662
CCM 9,201 42.5%
CDM 10,971 50.6%
Others 1,490 6.9%
Takwimu hizi zinatufunza nini?
1. Pamoja na kwamba CCM imeshinda kata nyingi (5 out of 10), wananchi walioipigia CDM ni wengi zaidi (over 50%). Kwa mwendo huu CCM kushika dola 2015 ijiulize mara mbili.
2. Daftari la wapiga kura lingekuwa linaboreshwa kila mwaka matokeo yangekuwa bora zaidi kwa CDM. Hata hivyo kwa kuwa daftari hilo lazima liboreshwe kabla ya chaguzi za 2014/2015 CCM ijue itakuwa na kazi pevu kupita.
Ushauri kwa CDM:
Mikakati na operesheni za sangara na M4C ziendelezwe kwa nguvu nchi nzima