mi furaha yangu ni pale msimamizi wa uchaguzi atakapotangaza ndio nitachekelea zaidi
kwani haya makundi hayaaminiki
1,polisiccm
2,necccm.
MUNGU IBARIKI CHADEMA MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Hata usingizi hauji aiseee.....daaah Mungu wetu ni mwema sanaaa na ashukuriwe. Wapi papaa Lusinde?hivi anajua kuwa amechangia sana CDM kupata kura za kishindo lol