mbaraka mohahed
Member
- Mar 22, 2012
- 6
- 1
tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu
kusini ipi kusini ya ukweli tuna Mr SUGUKama ni kweli basi hii ni salamu tosha kwa mikoa ya kusini Lindi na Mtwara...maana huko watu wamelala sana
Najisikia Kama 2015 chadema insignia Ikulu, watu sasa wameshajua mbivu na Mbichi ni zipi, mtaji wa ujinga sasa kwisha, tunaombea mungu mwendelee kuleta mapinduzi ya fikra, mambo ya piga makofi sasa basi, unafanya kazi you win otherwise you go! God bless you!, nilipokuwa naandika barua kwa Rais Slaa watunwalikejeli sana, lakin siyo lazima Slaa but Chadema can take the Lead of the country! Uzalendo kwanza!
Huku tulishaanza zamani. tayari Dj keshanukisha club!, viva CDM
Mwanakijiji unaweza kufafanua hapa kidogo? Kama CCM wameshinda kata 3 tuu inakuwaje Chadema wameshinda kwa zaidi ya kura 6000 tuu? Au CCM wamepata ushindi wa "kishindo" kwenye hizo kata 3 walizoshinda? Au walikoshinda Chadema margin ya ushindi ilikuwa ndogo sana?
Niseeeeme nisiseeeeme!!!!!!!semaaaa!!!!!!!niwalambe nisiwalambeeeeee!!!! pipooooooooz pawaaaaa!!!!!!ahaaa...LOL..I wish that dumb ass lusinde was reading this now.........God bless CHADEMA and its fate in changing TZ........aluta continua CHADEMA.........
Hongera sana makamanda wetu mlioko Arumeru kwa ushindi huu mnono.Hongera makamanda wetu wa Mbeya na Kirumba Mwanza kwa kufanikisha ushindi wa viti vya udiwani.Hongera watanzania wapenda mageuzi hasa wanaJF kwa sala zenu na hatimaye Mungu ametusikia.HAIKUWA RAHISI.Tunajua ilikuwa ni mapambano ya usiku na mchana,njaa na kiu,jasho na damu,mapanga na visu,kejeli na matusi.
Kwa ushindi huu...leo laleni mpumzike mkiota njozi njema za kuendelea kulikomboa taifa hili.Tutazidi kuwaombea Mungu azidi kuwatia nguvu,akiwahepusha na mapanga,visu,mundu,mishale,ngumi,mahabusu,mahakamani na risasi.Mapambano bado yanaendelea.....