SIMBA WA TARANGA
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 987
- 220
pipoooooooooooooooz! najiandaa kwenda club kusheherekea till down,plz dont spoil my night.:smile-big:
CDM fujo zenu zitawaponzwa mmediriki kulipiga mawe gari la polisi, mwataka mlindwe na nani?
nimekuelewa mkuu, im not an easy believer thats why!!! afu moyo wangu ni delicate, especially nikijua nashinda afu isiwe hivyo!!2 + 2 jawabu lake ni 4 haijalishi anayetangaza ni Mchina, Mjerumani au Mndengereko. Kinachogombana sasahivi ni jumla ya mwisho tu... lakini HAWATOTANGAZA CCM IMESHINDA. Mnawapa sana credit na hii ni hatari kweli.
jamani mbona nyie wazushi sana, aya matokeo ya AKHERI haya hapa, tuambie chadema inaongozaje
[h=6]Matokeo ya kata ya akheri.
Nkoanrua1 cdm 192 ccm 60
Nkoanrua 2 cdm 166 ccm 56
Ushirika akheri 1 cdm 70 ccm 115
Ushirika akheri 2 cdm 46 ccm 250
... ushirika akheri 3 cdm 33 ccm 268
kimundo cdm 63 ccm 181
kimundo 2 cdm 61 ccm 150[/h]
Dah, JF haionyeshi idadi ya wachangiaji uzi huu na wale tuitwao currently online! mpya kiasi!
Hongera sana jamii forum kwa kutuletea matokeo. Pia hongera CDM kwa ushindi!Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.
Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.
My Take:
Bila ya shaka Uongozi wa taifa wa CDM hauna sababu ya kujiuzulu kwa wakati huu! Upepo umevuma upande wao na mtumbwi unaelekea kwenye ushindi 2015:
Atapotea hapa Jukwaani kwa mwezi mzima akiomboleza
Kama hana usingizi aseme tume piritonAcha Kudanganya watu!!!! Kalale
Mbona Kagenzi kupitia ITV anasema wamepata matokeo ya kata saba pekee!
nenada kwawambie waliokutma hivi...''nemeenda nimewakuta wako macho bado hawajalaa wala kusinzia...
Kuna matokeo yanangojwa toka pembeni ingawa nahisi wanataka kuyachakachua ila wanachi wako makini sana na hakuna kulala kama walivyokubaliana....hadi Nasari atangazwewakuu je matokeo yatatangazwa saa ngapi?