Mtandao wa JamiiForums waweza kutangaza kwa uhakika kabisa kutokana na vyanzo makao makuu ya Jimbo huko Arumeru Mashariki kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo ambapo mgombea wake Bw. Joshua Nassari ameibuka kidedea baada ya kumbwaga vibaya mgombea wa CCM Bw. Siyoi Sumari. Matokeo yanaonesha hadi hivi sasa baada ya zaidi ya asilimia 80 ya vituo vyote kuripoti CDM imeshinda kata 14 dhidi ya 3 za CCM.
Chama cha Mapinduzi tayari kimekuballi kushindwa na kutoa pongezi kwa mgombea wa CDM.
My Take:
Bila ya shaka Uongozi wa taifa wa CDM hauna sababu ya kujiuzulu kwa wakati huu! Upepo umevuma upande wao na mtumbwi unaelekea kwenye ushindi 2015:
Najaribu kuwaza hawa wazee wa magamba waloenda arumeru kumpigia debe SIOI, sijui watajificha wapi na sura zao zilizoshupaaa.........................
nenada kwawambie waliokutma hivi...''nemeenda nimewakuta wako macho bado hawajalaa wala kusinzia...
Najaribu kuwaza hawa wazee wa magamba waloenda arumeru kumpigia debe SIOI, sijui watajificha wapi na sura zao zilizoshupaaa.........................
Naanza kusikia harufu ya Ndoa kati ya Nassari na Halima Mdee.
jamani mbona nyie wazushi sana, aya matokeo ya AKHERI haya hapa, tuambie chadema inaongozaje
[h=6]Matokeo ya kata ya akheri.
Nkoanrua1 cdm 192 ccm 60
Nkoanrua 2 cdm 166 ccm 56
Ushirika akheri 1 cdm 70 ccm 115
Ushirika akheri 2 cdm 46 ccm 250
... ushirika akheri 3 cdm 33 ccm 268
kimundo cdm 63 ccm 181
kimundo 2 cdm 61 ccm 150[/h]
Mimi nipe Serengeti baridi kupata zoote, na ntaanza kulipa Mimi ktk raundi hiiWaiterrrr funga baa. Sogeza meza zote hapa. Lete wahudumu wenzio, supervisor na jamaa wa chips.
Njoo haraka na castle.
Hasa Wasira na Mkapa
CDM fujo zenu zitawaponzwa mmediriki kulipiga mawe gari la polisi, mwataka mlindwe na nani?