Imeonekana Zitto Kabwe kuwa brain nyuma ya chama hiki kikubwa cha siasa ambacho ndicho kinacho unda upinzani halali katika nchi ya Tanzania. Hii ikitanabaisha ni tofauti na chama cha CUF ambao wao wamefunga ndoa ya kudumu na CCM ili hali katika utashi wa kuvukia barabara wanaitwa CCM B kadhalika na CCM C ambao ni NCCR- Mageuzi.
Katika matukio yanayoendelea kukikumba chama hasa kwa migomo na maandamano yasiyo na mantiki katika utashi wa kizawa na kizalendo katika Tanzania ndugu Zitto Zuberi Kabwe anaonekana kuwa ni ubongo ndani ya chama hicho kwa kuwa kutokuwepo kwake kuna ashiria madudu kutendeka.
Zitto ambaye ni mgonjwa kwa siku kadhaa sasa hali si hali tena kwenye chama chake, Mwenyekiti akana kushiriki kwenye maandamano ya Arusha na kusema hakuwepo uwanjani huu ni USALITI mkubwa kwa vijana wa Arusha na kingine ni kitendo cha Dr Slaa kujificha kwenye gari wakati polisi wakija kuwakamata maana yake haamini anachodai huu tena ni wehu, ili hali sintofahamu zinazidi kuendelea chamani humo Mkoa wa Dar es Salaam kuitisha maandamano ambayo hata wehu wameshindwa kuhuzuria huu ni uthibtisho dhahiri kuwa jamii ya wenye akili timamu na wasomi wetu Wamechoshwa na maandamano yanayo hujumu maendeleo na mustakbali wa taifa.
Zitto kabwe ambaye ndio anaonekana kuwa na ushawishi mkubwa huenda yeye tu ndio atakaye weza kuzua hali inayoelekea kukifanya chadema kama chama cha Arusha mjini na Karatu ikiwa ni sawa na UDP ya ndugu cheyo.
Chadema imebakiwa na Karata moja ya kucheza nayo ni zito kabwe tu, zaidi ya hapo anguko tayari.
Katika matukio yanayoendelea kukikumba chama hasa kwa migomo na maandamano yasiyo na mantiki katika utashi wa kizawa na kizalendo katika Tanzania ndugu Zitto Zuberi Kabwe anaonekana kuwa ni ubongo ndani ya chama hicho kwa kuwa kutokuwepo kwake kuna ashiria madudu kutendeka.
Zitto ambaye ni mgonjwa kwa siku kadhaa sasa hali si hali tena kwenye chama chake, Mwenyekiti akana kushiriki kwenye maandamano ya Arusha na kusema hakuwepo uwanjani huu ni USALITI mkubwa kwa vijana wa Arusha na kingine ni kitendo cha Dr Slaa kujificha kwenye gari wakati polisi wakija kuwakamata maana yake haamini anachodai huu tena ni wehu, ili hali sintofahamu zinazidi kuendelea chamani humo Mkoa wa Dar es Salaam kuitisha maandamano ambayo hata wehu wameshindwa kuhuzuria huu ni uthibtisho dhahiri kuwa jamii ya wenye akili timamu na wasomi wetu Wamechoshwa na maandamano yanayo hujumu maendeleo na mustakbali wa taifa.
Zitto kabwe ambaye ndio anaonekana kuwa na ushawishi mkubwa huenda yeye tu ndio atakaye weza kuzua hali inayoelekea kukifanya chadema kama chama cha Arusha mjini na Karatu ikiwa ni sawa na UDP ya ndugu cheyo.
Chadema imebakiwa na Karata moja ya kucheza nayo ni zito kabwe tu, zaidi ya hapo anguko tayari.