mwenyenchi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 657
- 185
Hivi maandamano bado yanatusaidia sana CDM? Nadhani watu wameanza kuichoka hii style yetu - leo maandamano kesho mahakamani, tubadilishe mbinu ya kukabiliana na Magamba
Wewe alikufunda nani?mbona bado huna kitu?kila siku pumba zinazidi kuongezeka!Wakae na Shibuda awafunde siasa.
Inawezekana unaijua vizuri,lakini hujui unachokiongea!Inawezekana ni jana kweli ila naijua JF muda
Hii thread imeanzishwa na mwendawazimu wa Chama Cha Magamba. Pambaf kabisa!
Join Date : 9th November 2011
Posts : 11
Rep Power : 0
kwa mwenye akili huitaji kubishana na member kama huyu!
Bila shaka wewe ni mtoto wa Nape.
Duu eti huyu nae anaishii?
unajua kuna watu wanaishi kwa sababu kuwaua ni kosa la jianai na ni dhambi kwa waamini!