Asante mwafrika Picha ya JK inathamani kuliko nyumba ya jamaa
MWP ni mtani wangu wa jadi .. hapa nimemkumbusha tu maisha ya watanzania wenzake ambao hawako kwenye timu ya "ushindi" kama ya kwake.
Asante mwafrika Picha ya JK inathamani kuliko nyumba ya jamaa
Mwafrika - huku ni wapi??
Haya wanaoangukia pua na bendera zao hawa hapa
YouTube - Raisi Kikwete alipoanguka Jukwaani Jangwani
wakati huo huo mama salma anatumia milioni 28 kukodi hili dege la kifahari kwa matumizi ya masaa matano tu:
Mwafrika - huku ni wapi??
kikwete....! THE WORSE PRESIDA EVA...!
mwafrika - huku ni wapi??
mazagazaga kibao halafu unadai ni watu wa vitendo! Kwa mfano mlipokabidhiwa nchi mwaka 2005 bei ya kilo ya sukari ilikuwa shilingi 400 leo hii ni zaidi ya 1,600. Hivi ndivyo vitendo vyenu vya maisha bora kwa kila mtanzania
Mwafrika - huku ni wapi??