Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,920
Duh babu hapo umechemsha!Nilikuwa najiuliza kuna tofauti gani kati ya Gaddafi na CCM? sasa nimepata jibu kuwa wote ni wamoja. Kwa kuwa wote wanatumia mbinu moja nayo ni ku-hire MERCENARIES Japo Gaddafi yeye anawatumia kuua raia wake, CCM wanawatumia kuzomeazomea kwenye mikutano ya CHADEMA