STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Siamini na ngumu sana kuamini kuwa chama hiki kinachojiita kikuu cha upinzani nchini kimeteswa na sana na mkutano wa ccm Jangwani kiasi kwamba kila wakiongea hawaachi kuutaja mkutano ule, ambao ni kichaa tu atapinga kuwa ulifunika mbovu.
Sasa mapigo hayo yamehamia Sumbawanga, ambapo jana kwa hakika CCM imefanya kile kilichokosekana kwa muda mrefu sana. Kimetatua kero papo kwa papo ambazo kwa kweli zilikuwa zinakera sana Rukwa. Na mtaani kila mtu anakiri sasa kuwa CCM kwa mwendo huu vyama vya upinzwni vilie tu, wako mbali sana CCM.
Ushabiki kweli siyo mzuri!!! Kwa hiyo Malima kuzomewa sumbawanga jana ndiko ambako kunawafanya CDM Kuchanganyikiwa na ccm? Acha ushabiki wa kijinga, leo wanakuja nyumbani, nyumbani ambako cdm inaongoza jimbo kwa mwaka wa saba sasa, na hapa ndiyo nyumbani kwa Pinda, tumemzomea mara kadhaaa kwa kuiponda CDM na Mbunge wetu Arf, kama hao akina Mwigulu hawana tahadhari, hii ndiyo mpanda, mkutano unaweza usiishe, wawe waangalifu na wawe makini sana. Wakiongea ujinga, hatuogopagi polisi, tutawaporomoshea matusi hadi wahame mji!!!! Hakuna kitu hatukipendi Hapa Mpanda kama CCM na wafuasi wake! Tunawakaribisha, lakini wawe na NIDHANI katika kuongea.