Siamini na ngumu sana kuamini kuwa chama hiki kinachojiita kikuu cha upinzani nchini kimeteswa na sana na mkutano wa ccm Jangwani kiasi kwamba kila wakiongea hawaachi kuutaja mkutano ule, ambao ni kichaa tu atapinga kuwa ulifunika mbovu.
Sasa mapigo hayo yamehamia Sumbawanga, ambapo jana kwa hakika CCM imefanya kile kilichokosekana kwa muda mrefu sana. Kimetatua kero papo kwa papo ambazo kwa kweli zilikuwa zinakera sana Rukwa. Na mtaani kila mtu anakiri sasa kuwa CCM kwa mwendo huu vyama vya upinzwni vilie tu, wako mbali sana CCM.
Sasa mapigo hayo yamehamia Sumbawanga, ambapo jana kwa hakika CCM imefanya kile kilichokosekana kwa muda mrefu sana. Kimetatua kero papo kwa papo ambazo kwa kweli zilikuwa zinakera sana Rukwa. Na mtaani kila mtu anakiri sasa kuwa CCM kwa mwendo huu vyama vya upinzwni vilie tu, wako mbali sana CCM.