CHADEMA waweweseka na mkutano wa CCM JANGWANI, na sasa Rukwa na Katavi

Kageuka

JF-Expert Member
Jun 22, 2012
241
59
Siamini na ngumu sana kuamini kuwa chama hiki kinachojiita kikuu cha upinzani nchini kimeteswa na sana na mkutano wa ccm Jangwani kiasi kwamba kila wakiongea hawaachi kuutaja mkutano ule, ambao ni kichaa tu atapinga kuwa ulifunika mbovu.
Sasa mapigo hayo yamehamia Sumbawanga, ambapo jana kwa hakika CCM imefanya kile kilichokosekana kwa muda mrefu sana. Kimetatua kero papo kwa papo ambazo kwa kweli zilikuwa zinakera sana Rukwa. Na mtaani kila mtu anakiri sasa kuwa CCM kwa mwendo huu vyama vya upinzwni vilie tu, wako mbali sana CCM.
 
Nappe ni kero gani mlizotatua papo kwa papo.? Mlijenga barabara na kuleta maji papo kwa papo.? Na mfumko wa bei ulishuka papo kwa papo.?
 
Nappe ni kero gani mlizotatua papo kwa papo.? Mlijenga barabara na kuleta maji papo kwa papo.? Na mfumko wa bei ulishuka papo kwa papo.?

Heeeeeeeee! Dogo inataka moyo kama wa kichaa hivi kuwatetea Chadema leo! Hakika kifo cha CDM hakikwepeki! KIFO CHA CHADEMA KWASASA HAKIKWEPEKI KAMA ISIVYWEZEKANA KUZUIA JU LISICHWE!
 
Siamini na ngumu sana kuamini kuwa chama hiki kinachojiita kikuu cha upinzani nchini kimeteswa na sana na mkutano wa ccm Jangwani kiasi kwamba kila wakiongea hawaachi kuutaja mkutano ule, ambao ni kichaa tu atapinga kuwa ulifunika mbovu.
Sasa mapigo hayo yamehamia Sumbawanga, ambapo jana kwa hakika CCM imefanya kile kilichokosekana kwa muda mrefu sana. Kimetatua kero papo kwa papo ambazo kwa kweli zilikuwa zinakera sana Rukwa. Na mtaani kila mtu anakiri sasa kuwa CCM kwa mwendo huu vyama vya upinzwni vilie tu, wako mbali sana CCM.

Wewe Badala ya kuzungumzia Pesa za USWISI; Ardhi zilizochukuliwa na Wafadhili; Madini wanapewa bure Wazungu

wewe unajali na CHADEMA... Amka... Uliza nani kaficha Mali nje???
 
Siamini na ngumu sana kuamini kuwa chama hiki kinachojiita kikuu cha upinzani nchini kimeteswa na sana na mkutano wa ccm Jangwani kiasi kwamba kila wakiongea hawaachi kuutaja mkutano ule, ambao ni kichaa tu atapinga kuwa ulifunika mbovu.
Sasa mapigo hayo yamehamia Sumbawanga, ambapo jana kwa hakika CCM imefanya kile kilichokosekana kwa muda mrefu sana. Kimetatua kero papo kwa papo ambazo kwa kweli zilikuwa zinakera sana Rukwa. Na mtaani kila mtu anakiri sasa kuwa CCM kwa mwendo huu vyama vya upinzwni vilie tu, wako mbali sana CCM.
Naona hii ni thread ya pili umeanzisha lakini zote hazina mshiko naona bado unafanya propaganda zile za kizamani za wakina mukama na Nape
 
Siamini na ngumu sana kuamini kuwa chama hiki kinachojiita kikuu cha upinzani nchini kimeteswa na sana na mkutano wa ccm Jangwani kiasi kwamba kila wakiongea hawaachi kuutaja mkutano ule, ambao ni kichaa tu atapinga ......
..............kama mimi na wewe.
 
Naona hii ni thread ya pili umeanzisha lakini zote hazina mshiko naona bado unafanya propaganda zile za kizamani za wakina mukama na Nape

Tuelezeni kwanza NANI ALITAKA KUMUUA DR. SLAA NA KWANINI SLAA HATAKI KUTOA USHAHIDI KAMA TUHUMA HIZI NI ZA KWELI.? SLAA HAJAWA RAIS ANAIBA WAKE ZA WATU HIVI AKIWA JE SI ATATIA BARABARANI? NA KISUKARI KILE LAZIMA ANAKUNYWA VIAGRA HAKA KAZEE
 
Wewe Badala ya kuzungumzia Pesa za USWISI; Ardhi zilizochukuliwa na Wafadhili; Madini wanapewa bure Wazungu

wewe unajali na CHADEMA... Amka... Uliza nani kaficha Mali nje???

Usituchanganyie madawa hapa! NANI KAKUZUIA KUANZISHA YAKO ILI KAMA INA MASHIKO WAJE KUJADILI HUO WIZI?
 
Siamini na ngumu sana kuamini kuwa chama hiki kinachojiita kikuu cha upinzani nchini kimeteswa na sana na mkutano wa ccm Jangwani kiasi kwamba kila wakiongea hawaachi kuutaja mkutano ule, ambao ni kichaa tu atapinga kuwa ulifunika mbovu.
Sasa mapigo hayo yamehamia Sumbawanga, ambapo jana kwa hakika CCM imefanya kile kilichokosekana kwa muda mrefu sana. Kimetatua kero papo kwa papo ambazo kwa kweli zilikuwa zinakera sana Rukwa. Na mtaani kila mtu anakiri sasa kuwa CCM kwa mwendo huu vyama vya upinzwni vilie tu, wako mbali sana CCM.


Kati ya ccm na chadema nani anaye weweseka. mbona wanaiga kila wanachokifany cdm nanyie wafisadi njooni na opereshi yenu. hivi ya kuvua gamba iliishia wapi vie. it was like a move.
 
Heeeeeeeee! Dogo inataka moyo kama wa kichaa hivi kuwatetea Chadema leo! Hakika kifo cha CDM hakikwepeki! KIFO CHA CHADEMA KWASASA HAKIKWEPEKI KAMA ISIVYWEZEKANA KUZUIA JU LISICHWE!

Nani dogo.? kuwa na heshima naweza kuwa babaako mdogo......hata ubadilishe IDS wewe gamba tu a.k.a vuvuzela....vipi nasikia mzee wa smg alizomewa vibaya sana ikabidi aanze kuongelea maswala ya megawati.!!
 
Nani dogo.? kuwa na heshima naweza kuwa babaako mdogo......hata ubadilishe IDS wewe gamba tu a.k.a vuvuzela....vipi nasikia mzee wa smg alizomewa vibaya sana ikabidi aanze kuongelea maswala ya megawati.!!

Mbona habari nilizonazo yeye huyu ndo babaako mzazi? Au mamaako hajakwambia?
 
Pandikizi lingine la magamba...wanaibuka kila siku utadhani uyoga.

Join Date : 22nd June 2012
Posts : 11
Rep Power : 306
Likes Received0
Likes Given0
 
Tuelezeni kwanza NANI ALITAKA KUMUUA DR. SLAA NA KWANINI SLAA HATAKI KUTOA USHAHIDI KAMA TUHUMA HIZI NI ZA KWELI.? SLAA HAJAWA RAIS ANAIBA WAKE ZA WATU HIVI AKIWA JE SI ATATIA BARABARANI? NA KISUKARI KILE LAZIMA ANAKUNYWA VIAGRA HAKA KAZEE

sasa mambo ya viagra yana toka wapi, au alisha kuhemea kwenye kishogo ukajua ana kisukari..
 
Tuelezeni kwanza NANI ALITAKA KUMUUA DR. SLAA NA KWANINI SLAA HATAKI KUTOA USHAHIDI KAMA TUHUMA HIZI NI ZA KWELI.? SLAA HAJAWA RAIS ANAIBA WAKE ZA WATU HIVI AKIWA JE SI ATATIA BARABARANI? NA KISUKARI KILE LAZIMA ANAKUNYWA VIAGRA HAKA KAZEE

Duh! Nilimiss sana mambo mengi hapa JF...
 
Usituchanganyie madawa hapa! NANI KAKUZUIA KUANZISHA YAKO ILI KAMA INA MASHIKO WAJE KUJADILI HUO WIZI?

nyie ndiyo mnatuchanganyia madawa watanzania kuteka ateke msangi kisha apeleleze msangi kisha anakuja na movi kihind
 
Tuelezeni kwanza NANI ALITAKA KUMUUA DR. SLAA NA KWANINI SLAA HATAKI KUTOA USHAHIDI KAMA TUHUMA HIZI NI ZA KWELI.? SLAA HAJAWA RAIS ANAIBA WAKE ZA WATU HIVI AKIWA JE SI ATATIA BARABARANI? NA KISUKARI KILE LAZIMA ANAKUNYWA VIAGRA HAKA KAZEE
Mbona hayo mahojiano ya siku zilizopita Kama kupigwa kwa wakina highness kiwia huko mwanza majibu hayajatoka mauwaji ya Arumeru na Igunga mnalimbikiza mahojiano bila majibu yake dhaifu nyinyi
 
SLAA ni kidume cha MBEGU, hata kama Mamako anauwezo wa kupakaa carolite mpeleke atamchukua tu na kumtimizia mahitaji yake ya kimwili.
 
Back
Top Bottom