baeleze baelewe !! uchaguzi (uchafuzi) ambao CDM haijautambua hadi leo hii na ndiyo maana hawajachukua senti tano ya ruzuku.Ruzuku haitokani na ubunge wa viti maalumu
Halima Mdee aliingizwa bungeni na.kura za Tundu Lisu
Leo umepangiwa thread ngapi? Maana si kwa fujo hii. Na, nadhani mmpewa mada ya covid 19 wiki hii hapo Lumumba.Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.
Huwezi kula usichopanda.
Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
... mataga watajulia wapi haya!Ruzuku haitokani na ubunge wa viti maalumu
Halima Mdee aliingizwa bungeni na.kura za Tundu Lisu
Ruzuku na ubunge viti maalum ni matokeo ya kura za urais alizopata LissuKama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.
Huwezi kula usichopanda.
Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Aisee kumbe wee ni mweupe hivi..??!Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.
Huwezi kula usichopanda.
Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Nenda kakojoe ulale,Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.
Huwezi kula usichopanda.
Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Wewe kweli kichwa maji, uliambiwa hiyo ruzuku imetokana na wabunge wa viti maalum?Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.
Huwezi kula usichopanda.
Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Ndugu waonekana kuwa bado unaathiriwa na LEGACY ya kule Burigi.Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.
Huwezi kula usichopanda.
Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Rais alitaka kutupatia tukamwabia asante kwa ukarimu HATUZIHITAJI tunaweza kujibeba wenyeweKama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.
Huwezi kula usichopanda.
Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Kumbe wewe ni kilaza, ruzuku inatokana na idadi ya kura za mgombea urais, hata hizo nafasi za huo ubunge zimekokotolewa kutokana na idadi ya kura za za mgombea urais, na Chadema walishazikataa hizo hela za ruzukuKama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.
Huwezi kula usichopanda.
Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Wao waliikata haramu kutoka day one pamoja na kulazimishiwa kuukubali haramu,au weye ulikuwa usingizini na kupitwa na uamuzi wao huo🤔Kama mbwai na iwe mbwai, Nashauri spika azuie fedha hizo zisichukuliwe na Chadema kwa kuwa wameonyesha kwamba Mdee na wenzake hawakuwa wabunge.
Huwezi kula usichopanda.
Maana hiki chama kikiona fedha huwa kinasisimuka
Mwambie huyo mjinga muanzisha uzi.Ruzuku haitokani na ubunge wa viti maalumu
Halima Mdee aliingizwa bungeni na.kura za Tundu Lisu