CHADEMA waongeza mbunge Arusha mjini

sasa kama kuna wengine ambao hawajaripoti halmashauri nyingine na taratibu zinaruhusu kuwaforward arusha, basi wapeleke zaidi kwani huyo mmoja nadhani hatatosha

hii nafikiri inashusha hadhi ya hawa wabunge wa viti maalum. inprove udhaifu mkubwa sana wa katiba

Katiba inamapungufu inasema mbunge wa viti maalum atafanya kazi eneo atakalopangiwa na chama chake ila km eneo analoishi wako wabunge zaidi ya watatu anaweza kuhamishiwa halmashauri ya jirani kulingana na maelekezo ya chama , katiba inawanyima haki wanawake waliowachagua ambao waliahidiwa kuwakilishwa wakatoa kura mabadiliko ya katiba hayakwepeki
 
Umefikiria kweli mkulu hapa? CHADEMA wame-capitalize udhaifu wa katiba yetu.

Teh teh teh, mkuu twende taratibu.
Kwanini isiwe kuwa ccm ndo wali capitalize hiyo katiba kwa chitanda? Na nini chazo hadi chadema kujitoa ktk kikao cha mwanzo ambacho kilipelekea ccm kuchagua diwani? namomba tuelezane tu taratibu mkuu.
 
Teh teh teh, mkuu twende taratibu.
Kwanini isiwe kuwa ccm ndo wali capitalize hiyo katiba kwa chitanda? Na nini chazo hadi chadema kujitoa ktk kikao cha mwanzo ambacho kilipelekea ccm kuchagua diwani? namomba tuelezane tu taratibu mkuu.

CHADEMA are good in squaring the differences! In that case its our constitution to be sodomized.....!
 
Sasa rafu iliyochezwa uliitegemea wewe? Kikao kuangalia wenzao wako nje wanashauriana halafu ipigwe kura ghafla na kutangazwa Meya?? Ahh tafadhali ChiefmTZ!
Ilikuwa ni tko ya siasa za majitaka. Ndo maana na wao wamejifunza namna ya kuzicheza. Hoja yangu ni kuwa they ought to know how to play and the rules thereto.
 
Ukizijua sheria kunanoga. Baada ya makamba kuleta utetezi uchwara kuwa chatanda kaenda arusha coz hajaripoti alimashauri yoyote,Tundu Lissu na Marando wakacheka sana,wakasemezana,"mbona na cdm tunao ambao wako free"wakamwambia Maulda afike Arusha. Mkwere amechukia sana,akahaidi akitoka safari atafika anateua wabunge 5,waungane na akina Zakia Meghji watimie8 kati ya 10 ambao katiba inamruhusu kuteua ,na ameamua kuwapeleka Arusha wote. Hapa mchezo utakuwa mgumu zaidi. Kama riwaya vile?
 
Ukizijua sheria kunanoga. Baada ya makamba kuleta utetezi uchwara kuwa chatanda kaenda arusha coz hajaripoti alimashauri yoyote,Tundu Lissu na Marando wakacheka sana,wakasemezana,"mbona na cdm tunao ambao wako free"wakamwambia Maulda afike Arusha. Mkwere amechukia sana,akahaidi akitoka safari atafika anateua wabunge 5,waungane na akina Zakia Meghji watimie8 kati ya 10 ambao katiba inamruhusu kuteua ,na ameamua kuwapeleka Arusha wote. Hapa mchezo utakuwa mgumu zaidi. Kama riwaya vile?

duh, kama mambo yatakuwa hivyo basi nadhani TZ ndo tutakuwa tumekomaa zaidi kidemokrasia kushinda wote duniani. hahah, yangu macho!
 
Ilikuwa ni tko ya siasa za majitaka. Ndo maana na wao wamejifunza namna ya kuzicheza. Hoja yangu ni kuwa they ought to know how to play and the rules thereto.

Nakubali kisiasa ndivyo lakini Mkuu kwa mwendo huo tutajikuta walipo Ivory Coast sasa hivi. Mungu aepushe lakini "Katiba mpya Lazima!"
 
Hivi vyote ni viini macho mbele ya uharisia wa representative democracy!
Namna ghaniiii
shime Watanzania tudai katiba mpya tudstroy michezo ya kirafi kama hii.
 
cdm imempeleka mbunge wa viti maalum anna maulida komu kwenye halmashauri ya jiji la arusha

My take sasa cdm wanakuwa na uhakika wa ushindi endapo uchaguzi wa meya utarudiwa

Hakuna uchaguzi tena. Hii ni kuthibitisha kwamba Mary Chatanda alikuwa mjumbe ''halali'' na hivyo hakuna haja ya uchaguzi tena.

Hii move ya Chadema ni sawa kweli?
 
he, wabunge wanahamishwa siku hizi? hahaha. huko tuendako, sipati picha mie

Sio kuhamishwa Judith. Huyo ni mbunge wa viti maalum ambaye kikanuni anapaswa kusimama ktk halmashauri km mjumbe. CDM wamemsimamisha mama Komu kuwa mjumbe halmashauri ya Arusha.
 
Sio kuhamishwa Judith. Huyo ni mbunge wa viti maalum ambaye kikanuni anapaswa kusimama ktk halmashauri km mjumbe. CDM wamemsimamisha mama Komu kuwa mjumbe halmashauri ya Arusha.

Je Chitanda alikuwa mjumbe halali?
 
Back
Top Bottom