superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
cdm imempeleka mbunge wa viti maalum anna maulida komu kwenye halmashauri ya jiji la arusha
Mama huyo mkongwe na mkomavu kisiasa aliripoti ijumaa kwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo.
Soc. tanzania daima
My take sasa cdm wanakuwa na uhakika wa ushindi endapo uchaguzi wa meya utarudiwa
Mama huyo mkongwe na mkomavu kisiasa aliripoti ijumaa kwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo.
Soc. tanzania daima
My take sasa cdm wanakuwa na uhakika wa ushindi endapo uchaguzi wa meya utarudiwa