Kama hii Kweli basi Miaafrika tuna matatizo..Tuliambiwa chanzo cha mauaji ya Arusha ni huyo mama wa viti maalum sasa CDM wanafanya yaleyale..kweli nyie ni mipumbavu....nimechukia sana
Usichukie cdm watakuwa wamefanya hivyo kumtega mkurugenzi kwani sheria inasema watapangiwa halmashauri za jirani sasa kwa kuwa kamkubali chatanda wa ta basi na komu wa dar itabidi amkubali vinginevyo awatimue woteKama hii Kweli basi Miaafrika tuna matatizo..Tuliambiwa chanzo cha mauaji ya Arusha ni huyo mama wa viti maalum sasa CDM wanafanya yaleyale..kweli nyie ni mipumbavu....nimechukia sana
cdm imempeleka mbunge wa viti maalum anna maulida komu kwenye halmashauri ya jiji la arusha
Mama huyo mkongwe na mkomavu kisiasa aliripoti ijumaa kwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo.
Soc. tanzania daima
My take sasa cdm wanakuwa na uhakika wa ushindi endapo uchaguzi wa meya utarudiwa
he, wabunge wanahamishwa siku hizi? hahaha. huko tuendako, sipati picha mie
Usichukie cdm watakuwa wamefanya hivyo kumtega mkurugenzi kwani sheria inasema watapangiwa halmashauri za jirani sasa kwa kuwa kamkubali chatanda wa ta basi na komu wa dar itabidi amkubali vinginevyo awatimue wote
Kwa mawazo yangu hili ndilo ninaloliona
cdm imempeleka mbunge wa viti maalum anna maulida komu kwenye halmashauri ya jiji la arusha
Mama huyo mkongwe na mkomavu kisiasa aliripoti ijumaa kwa mkurugenzi wa halmashauri hiyo.
Soc. tanzania daima
My take sasa cdm wanakuwa na uhakika wa ushindi endapo uchaguzi wa meya utarudiwa
Superfisadi ,mi baado natatizwa na hili,Je Chatanda hakuwa na haki ya kuwa Diwani Arusha? kutokana na sheria unayosema?Kama ni hivyo CDM wanataka kujaribu nini?Kujaribu kufanya uwizi kama CCM au mimi sijakuelewa
Sasa CCM nayo ikiongeza wabunge zaidi wa viti maalumu kwenda kwenye halmashauri ya Mji wa Arusha, Chadema itapinga tena uhalali wa wabunge hao kuwa madiwani wa halmashauri hiyo? mchezo wa kitoto huu.
Ukizijua sheria kunanoga. Baada ya makamba kuleta utetezi uchwara kuwa chatanda kaenda arusha coz hajaripoti alimashauri yoyote,Tundu Lissu na Marando wakacheka sana,wakasemezana,"mbona na cdm tunao ambao wako free"wakamwambia Maulda afike Arusha. Mkwere amechukia sana,akahaidi akitoka safari atafika anateua wabunge 5,waungane na akina Zakia Meghji watimie8 kati ya 10 ambao katiba inamruhusu kuteua ,na ameamua kuwapeleka Arusha wote. Hapa mchezo utakuwa mgumu zaidi. Kama riwaya vile?
Mambo haya, mbona uchaguzi ulishaisha zamani na Meya anajulikana, walikuwa wapi?
Kama umekosea vile wasizidi watatukuna idadi ya mwisho pia ya kupangiwa wabunge nadhani si tu kuhamisha nadhani kama sijakosea kila jimbo linatakiwa kuwa na mbuge maaalumu asiezidi mmoja na wakula mmoja
Sasa CCM nayo ikiongeza wabunge zaidi wa viti maalumu kwenda kwenye halmashauri ya Mji wa Arusha, Chadema itapinga tena uhalali wa wabunge hao kuwa madiwani wa halmashauri hiyo? mchezo wa kitoto huu.